Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Big up !! Mungu akubariki , una upendo wa hali ya juu ! Wengi huwa hawapendi kutoa siri za maendeleo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imagineMbezi Mwisho njia panda ya kwenda Goba, kuna Mzee ana makabati haya kama kumi na kila siku anakusanya elfu 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen mkuuu,tubarikiwe sote 🙏Big up !! Mungu akubariki , una upendo wa hali ya juu ! Wengi huwa hawapendi kutoa siri za maendeleo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinywaji na vitafunwa. Idea zinatoka kwao, kiasi cha mtaji na mchanganuo wa makusanyo kila siku vyote walipanga wao.
ni kweli mkuu,sababu huwa hazikosekani.🤝🤝
Pamoja mkuu,
japo wengi hapo watasema lak 8 hadi milioni hawana.
Ukipata muda wape na tips za biashara za mtaji wa 30 hadi laki moja.
Aliekwambia nani.
Sio kwamba tutakuja.tupo hum na kule tupo. Hata yeye kule pia yupo.watakuja mkuu,wape muda kidogo
Amin Amin.