Kuna kitu ambacho sitakielewa hapa duniani basi ni hii tabia ya wanaume kuwaita wapenzi wao au wake zao mama!
Hivi mpenzi wako anaweza kuwa mama yako kweli? Mtu ambae unalala nae uchi na mnamaliza staili zote za mibinuko unamwita mama?
Au mimi mshamba? Hii ni heshima au ndio mapenzi? Na nyie wanawake ambao wapenzi wenu wanawaita mama uwa mnajisikiaje mkiitwa ivo? Hebu nielewesheni wakuu!!
Hivi mpenzi wako anaweza kuwa mama yako kweli? Mtu ambae unalala nae uchi na mnamaliza staili zote za mibinuko unamwita mama?
Au mimi mshamba? Hii ni heshima au ndio mapenzi? Na nyie wanawake ambao wapenzi wenu wanawaita mama uwa mnajisikiaje mkiitwa ivo? Hebu nielewesheni wakuu!!