Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Hahah ila kuna watu mnayachukulia mahusiano very serious sana, yaan mm akisema ufike salama babaa na mm nikimjibu take care mamaa mioyo yetu inamwagika mwamwamwa.
Anyway, endelea kuwa serious mwanetu. Baadae njoo na uzi wa kuitana baby pia, maana baby ni mtoto. Point zako ziwe
1. Ni dharau kwa mkeo kumwita baby
2. Ni kama unamlala mtoto
3. Ni kama umemzaa
4.... utaendeleza point nyingine za userious wako
Ukimaliza huo shusha mwingine wa kuitana "honey" hoja iwe unawezaje kuishi na asali? 🤣🤣🤣
Anyway, endelea kuwa serious mwanetu. Baadae njoo na uzi wa kuitana baby pia, maana baby ni mtoto. Point zako ziwe
1. Ni dharau kwa mkeo kumwita baby
2. Ni kama unamlala mtoto
3. Ni kama umemzaa
4.... utaendeleza point nyingine za userious wako
Ukimaliza huo shusha mwingine wa kuitana "honey" hoja iwe unawezaje kuishi na asali? 🤣🤣🤣