Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
(Alekosalamu)Kwenye kuitikia hapo ungeniwekea kwenye mabano majibu yake😅
Asante Kadhi(Alekosalamu)
Nikiitwa hivo moyo wangu kwatuNi vizuri sana mkuu mamy
HahahahaMimi napenda sana kuitwa mamy
Hahaha 😂Demu wangu namuita ng'ombe
Ngoja Niulize Swali La Nyongeza.Utakuwa unamaelekezo ya dini au vinginevyo masuala ya majina ktk mapenzi hayana fomula unaweza mwita chura, pimbi, mpenzi, switihati, mai wangu, mwezi, jua etc au kuna majina umekaririshwa na shekhe au mchungaji wako? Watu wakiwa katka sarakasi kitandani wanatukana matusi kama yote kwa raha wanazopeana je, nayo hayaruhusiwi mnataka wakati wa kunyanduana watu waimbe nyimbo za kuabudu au kaswida?
Ukiishiwa hela haisaidii hata umuite ayattolah.Mi wife na mwitaga Mkuu/Kiongozi
Asilimia Kubwa Kama Una Mume Basi Mume Wako Anavaa Khanga Asubuhi Huku Akiswaki.Mimi napenda sana kuitwa mamy
Kwa Kufupisha Maneno Wewe Ni Mume Bwege!We
Wewe mshamba sana, pia mimi mke wangu huniita Baba. Kwahiyo tunakuwa baba na mama.
Watu Kama Wewe Ukiondoka Nyumbani Tu Ukasema Umpigie Simu Mkeo Kama Yuko Na Mashoga Zake Huwa Anasema Msukuma Wangu Anapiga!Mama kwa sababu anachukua nafasi ya mamangu kunilea, baba kwa sababu ninachukua nafasi ya babake kumlea.
Hayo mawazo mengine ni kwa mujibu wa ujinga wako tu. Sioni kama ukitamka mama au baba unamaanisha kulala nae uchi. Huonesha heshima kati ya baba wa watoto na mama wa watoto wetu.
Maneno haya hutumika wakati watu wamevaa nguo zao na hususani mbele ya watu. Huonesha uimara wa ndoa baina ya wana ndoa, ukamilifu wa upendo wa kweli kati yao na heshima kuu kati yao.
Baba Amina au mama Amina, huonesha kifungu cha ukamilifu na uwajibikaji kama wazazi, ishara ya heshimu ya kutumika katika uumbaji mpya kwa uwezo wa Mungu.
Tuelekeze mawazo huku siyo kwenye kuvuana nguo. Ndo maana wakwezo au wazazi wakikutembelea, utawalaza chumba na kitanda kimoja, huwezi kuwatenganisha. Hao ni baba na mama kama ambavyo sisi ni baba na mama.
AiseeeAsilimia Kubwa Kama Una Mume Basi Mume Wako Anavaa Khanga Asubuhi Huku Akiswaki.
Kifupi Mwanaume Anayemwita Mkewe Mama Kama Ni Ndugu Yako Usimtembelee Ukakaa Kwake Hata Siku Mbili Kama Hujadhalilika Mbele Yake Basi Atadhalilika Mbele Yako.
Kila Kitu Kina Mahara Pake Sasa Kuanzia Leo Anza Kumwita Mama Ako "Mke Wangu"Akikupigia Simu Tu Anza Na Hilo Neno Mwambie Sema Mke Wangu Uone Je Atakuchukulia Vipi?Watu Kama Nyinyi Ndo Mlianzisha Mwanaume Kumla Mwanaume Mwenzie Mkiamini Kwamba Haina Shida Tundu Si Lipo!Ni tafsiri yako ya kishamba tu, kuita mama haihalalishi kuwa ndio mama yako, ni sawa na kumuita mtu komredi, kapteni, koplo, kamanda n.k
Waite mama zao mke wangu tuone kama kweli jina ni jina 😂😂😂 mkuu umeongea bonge la point 🙌Kila Kitu Kina Mahara Pake Sasa Kuanzia Leo Anza Kumwita Mama Ako "Mke Wangu"Akikupigia Simu Tu Anza Na Hilo Neno Mwambie Sema Mke Wangu Uone Je Atakuchukulia Vipi?Watu Kama Nyinyi Ndo Mlianzisha Mwanaume Kumla Mwanaume Mwenzie Mkiamini Kwamba Haina Shida Tundu Si Lipo!
Wasifupishe kama ndio ivo waite mama naniiNijuavyo ni MAMA nanihii ila ukizubaa unaweza kuta unafupisha Mama, mbaya sanaaa
Mimi siombagi hela! Nikitaka hela naanza kutengeneza mazingira akipiga simu sipokei akituma meseji leo najibu kesho siku ya pili mwenyewe anatuma hela 😂😂Au ili usiombe hela 😅