Hivi unamuitaje mpenzi au mke wako mama?

Hivi unamuitaje mpenzi au mke wako mama?

Wangu alikua ananiita mama nikamwambia ishia hapo hapo mi siezi kua mama ako!
Wewe ndio una matatizo!
The rough is only mental!

Mama na baba ni majina ya kawaida kabisa kuitwa Tena ni cheo kikubwa mno kwenye mahusiano!hizo baby,honey zinaonyesha mahusiano bado hayajokmaa!yakikomaa majina yanabadilika Baba Fulani,mama fulani!au baba , Mama n.k!
 
Back
Top Bottom