Hivi unaoaje mwanamke mlevi?

Hivi unaoaje mwanamke mlevi?

Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano?

Aisee unaanzia kuoa mwanamke mlevi duh so sad

Home niliona baba alikuwa akiingia jumamosi anakuja na bia mbili ndio anampa mama

Sasa najiuliza Hawa wanawake wa sasa wanawezaje kukaa viti vilefu halafu wananyeshwa bia mpaka kumi halafu wameolewa

Binafsi mwamke mlevi hata kumgonga tu Kama amelewa siwezi!!!
upo serious mkuu huwezi kumgonga mwanamke alielewa..??

tukuwekee hapo mwanamke mlevi lkn yupo fresh na tukuwekee hapo mwanamke hajalewa lkn ana UTI sugu kali pro max international nginjanginja, utachagua yupi kati ya hao...??😂
 
Mkuu usiogope ukimaliza na walevi utaanza na kuwakandia wanawake waliosoma, wenye kazi zao, waliokwisha jipata hizo ni dalili za uoga na kutojiamini
Umewahi kudate na mwanamke mlevi?

Kwanza kama huna pumzi usijaribu vivyo hivyo kwenye ndoa akishagonga vitu ni show show kwa kwenda mbele au unataka kusema atalewa kila wakati ashindwe hata kukupikia?

Mbna kina manka kibao wanadrive na kuhandle familia zao na muda huo huo wanagonga gambe kama kawaida.
Mkuu ulevi sio sifa nzuri kwa mwanamke vile vile ni hatari kwa usalama wake. Ulevi kwa mwanamke ninred flag ambayo hautakiwi kuipuuza.

Kuzingatia red flags haimaanishi kwamba unaogopa, isipokua unatumia hekima kuepuka matatizo badae. Lazima ujue kuna tofauti kati ya kuogopa na kupuuza

Mwanaume ukijiamini inatosha hauna haja ya kujiingiza kwenye toxic relationship kwa makusudi ili tu uthibitishie watu uanaume wako.
 
Back
Top Bottom