Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Utakosa kwenda mbinguniKwa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakosa kwenda mbinguniKwa nini
Asante mkuu😂Weita ongezea nne bili nalipa Mimi😊☺️
Tatizo la mwanamke mlevi ni kuwa akishalewa tu anapoteza mwelekeo kabisaa. Analiwa na yeyote, muda wowote, popoteSasa najiuliza Hawa wanawake wa sasa wanawezaje kukaa viti vilefu halafu wananyeshwa bia mpaka kumi halafu wameolewa
Mababu zetu waliofunga za kimila zamani kabla yakuletewa dini kwa hiyo hawakuenda mbinguni???Utakosa kwenda mbinguni
upo serious mkuu huwezi kumgonga mwanamke alielewa..??Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano?
Aisee unaanzia kuoa mwanamke mlevi duh so sad
Home niliona baba alikuwa akiingia jumamosi anakuja na bia mbili ndio anampa mama
Sasa najiuliza Hawa wanawake wa sasa wanawezaje kukaa viti vilefu halafu wananyeshwa bia mpaka kumi halafu wameolewa
Binafsi mwamke mlevi hata kumgonga tu Kama amelewa siwezi!!!
Kwakweli, tunaomba kujua wanaume mnataka nini??Kwan sisi wanaume tunataka nini? Mzee kila moja abaki na chaguo lake
Sasa mkuu mtu ili alewe anakunywa nini? Juice au pombe?Jamaa ana-confuse kati ya mtu mlevi vs mtu anayekunywa pombe.
Ndo ukweli huoHana totauti na barmaid tu, umalaya lazima.
Chaguo lako haliwezi kubadili ukweliKwan sisi wanaume tunataka nini? Mzee kila moja abaki na chaguo lake
Hata ninyi wanawake hatujui mnataka nini.Kwakweli, tunaomba kujua wanaume mnataka nini??
Mkuu inategemea kiasi na jinsi mtu anavyoweza kuhimili na mazoea.Sasa mkuu mtu ili alewe anakunywa nini? Juice au pombe?
Wewe siyo babu yakoMababu zetu waliofunga za kimila zamani kabla yakuletewa dini kwa hiyo hawakuenda mbinguni???
Mkuu ulevi sio sifa nzuri kwa mwanamke vile vile ni hatari kwa usalama wake. Ulevi kwa mwanamke ninred flag ambayo hautakiwi kuipuuza.Mkuu usiogope ukimaliza na walevi utaanza na kuwakandia wanawake waliosoma, wenye kazi zao, waliokwisha jipata hizo ni dalili za uoga na kutojiamini
Umewahi kudate na mwanamke mlevi?
Kwanza kama huna pumzi usijaribu vivyo hivyo kwenye ndoa akishagonga vitu ni show show kwa kwenda mbele au unataka kusema atalewa kila wakati ashindwe hata kukupikia?
Mbna kina manka kibao wanadrive na kuhandle familia zao na muda huo huo wanagonga gambe kama kawaida.