Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

Sane advice ni hii ,nenda na aliye jismamia kiuchumi ,mbele ukiamua kwa dhati utapata hisia naye , ogopa Sana mume ambaye ndiye bread winner kwao ,Yaani tegemeo ,utarogwa mpaka kwa ndoto , mwache apange maisha kwanza mbele akisimama atapata mke mwingine .
Ole wako huyo tajiri ajue unamcheat ,hyo bahat hutoipata Tena .kumbuka kila uchao warembo kukuliko wanatua mjini
Umeongea ukweli mkuu,ukiolewa na mtu anayetegemewa na familia nzima ni matatizo makubwa na hautaacha kulaumiwa hata kama ulikuwa unatenda wema kiasi gani
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
Kati ya hao ni nani anakupelekea moto vizuri?
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
Kwa hiyo unapigwa kotekote? Yaani unagawa mbususu kwenye kiyoyozi na kwenye pangaboya
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
Naamini mapenzi sio natural wote tunajifunza kupenda

Kwa case yako nenda kale kiyoyozi mama kumpenda utajifunza huko japo mambo yanaweza geuka ukanyanyasika na kwa pesa zake pengine mko wengi

Vilevile kwa bwana mishahara anaweza ziokota siku ukageukwa vilevile ukawa umevumilia upupu

Aagh bwana wewe chagua njia unayoiona ni salama ya bwana kiyoyozi kuhusu kumpenda utajifunza tu na kila kitu kitakuwa sawa

Usimsahau Mungu na usiruhusu hisia zikuamulie maisha yako
 
Wenye akili walisha tahadharisha juu ya kutumia hisia badala ya akili katika kufanya maamuzi kwa sababu hisia huwa zinapenda popote bila kujali ni pazuri au ni pabaya.

Mtu yeyote anaye tumia hisia kufanya maamuzi huwa ana asilimia 97 ya kufeli dhidi ya 3 tu za kufaulu, kwa sababu hisia huwa ni kitu cha muda mfupi tu na huwa kinaisha lakini akili ndo muongozo wa binadamu kuanzia unazaliwa mpaka unakufa.

Kuhusu hisia hapo hakuna cha hisia wala nn bali ni nyege tu zinakusumbua,huyo unaye sema una hisia nae akikuoa ukalala naye kitanda kimoja mwaka mzima hizo hisia hutajua hata zimeenda wapi juu yake na hapo dharau juu yake ndo itakapo anza na utakuja kujutia maamuzi yako lakini utakuwa umechelewa.

Alafu kingine mwanamke mwenye akili anapo chukua maamuzi ya kuolewa huwa hajiangalii yeye binafisi bali huwa ana fanya maamuzi kwa kuangalia pia watoto atakao wazaa, kwa sababu hizo hisia zenu hazitawapeleka watoto wako shule ,hazita wanunulia chakula kizuri hazita wajengea nyumba nzuri ya kuishi.

Kuolewa na mwanaume asiye na msingi wa maisha kwa kigezo cha hisia alafu watoto mtakao wazaa watembee na nguo zenye viraka una kila sifa ya kuitwa mpumbavu.
Huu ni ukweli mchungu kabisa
 
Olewa na tajir yaani na huyo anayejiweza, show time unakuwa unaenda kumpa kapuku hata ya masaa matatu ukiwa na mda na unakuwa unaenda kumpa na vijisenti akuhudumie- sema unatakiwa uwe na akili nyingi mmeo asijue kwani nae atakuwa anacheat kama kawaida sema utakuwa haujui tu tena wenye nazo ndio wanacheat sana kwani pesa ndio nyenzo kuu ya ucheataji

Na kila unapokaa karibu na tajiri na wewe unajitengenezea njia raini ya kuwa tajiri.. nenda kaishi maisha yako
 
Pesa ndo kla kitu ktk maisha ya dunia ya leo mapenzi au upendo ni hisia tu wataalam wanasema mapenzi au upendo ni chemical kwaiyo upendo unaweza kuulazimisha na ukampenda usie mpenda

Naiman ww ni mtu mzma je watu wote ulowai tembea nao kimapenzi ulkua unawapenda ?
 
🤣🤣Maandish na mdomo havihusian hata kidogo
Ningekuwa napiga makelele humu hapo sawa ungehusisha mdomo wangu
Ungelijua we nyau usinge nihukumu nina mdomo😅
Umeanza kutumia kauli za yule afande kumuita mwenzie paka.
• Mawazo Ni Sauti ya ndani kabisa kabla komeo halijafunguka.
 
Olewa na tajir yaani na huyo anayejiweza, show time unakuwa unaenda kumpa kapuku hata ya masaa matatu ukiwa na mda na unakuwa unaenda kumpa na vijisenti akuhudumie- sema unatakiwa uwe na akili nyingi mmeo asijue kwani nae atakuwa anacheat kama kawaida sema utakuwa haujui tu tena wenye nazo ndio wanacheat sana kwani pesa ndio nyenzo kuu ya ucheataji

Na kila unapokaa karibu na tajiri na wewe unajitengenezea njia raini ya kuwa tajiri.. nenda kaishi maisha yako
Ushauri ulio tolewa na mtu mpumbavu.
 
Watu wawili wanaonesha interest kwangu.

Mmoja ana hela chafu, nikikohoa muamala unasoma. Na kwake ni full kiyoyozi, gari kali, geto kali na mipango ya maisha iko kwenye mstari.

Huyu mwingine mm ndiye nampenda haswa, nikimuona nategwa kihisia kama samaki kaona chambo. Lkn huyu kiuchumi kachoka. Anategemea mshahara na mshahara unategemewa na kijiji (ndugu kibao).

Najiuliza, hivi nikiolewa na huyu wa kwanza tutadumu kweli? Maana sina hisia naye kabisaaa. Kuna muda nakuwa mkali kwake bila sababu, lkn nguvu yake ya kiuchumi inaniweka sawa.

Kwa huyu wa pili pia najiuliza : hivi tutadumu kweli? Kuishi maisha ya kusubiria mshahara, usafiri TZ 11 (miguu), kachumba kamoja kana joto utadhani oven, feni inazunguka mpk inanuka oil. Mmh! Kuna muda nakata tamaa na kutaka kumwaga, lkn hisia za penzi langu kwake zinaniweka sawa.

Ndipo sasa nawauliza. Nitii hisia zipi hapa? Hisia za mapenzi ama za maisha mazuri??
Ni afadhali kulia ukiwa ndani ya Mercedes Benz kuliko ukiwa juu ya baiskeli.
 
Lakini si kafikia hatua ya kuolewa hapa anachagua tu... Usingle mama labda autake
Unatujua wanaume vizuri wewe🤣🤣kasema ni interest tu kuna jamaa yangu alienda mpaka kujitambulisha kwa msichana ilimradi awe anapata anytime
 
Back
Top Bottom