Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Kuna huyo nilienda nae weee badae nikamuambia bwana mie fulani ahahaaa akasema alikuwa ananitania hapo kashaomba mtoko mara kibao shida nilikua mbali nae ningeonana nae kwa mara ya pili.
😁 ukawa unamchora tu
Ngoja nisome comments.kuna phaller mmoja anajua sijamstukia 😄.mdogo mdogo tutafika tunakokwenda
kubali mtongozo huo
 
Hivi inawezekana vipi kutongozana huku , mbona kama mazingira ni magumu sana?
Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki 🤣 lete namba nikutumie wasap
 
Back
Top Bottom