Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Magumu kwako tuHivi inawezekana vipi kutongozana huku , mbona kama mazingira ni magumu sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magumu kwako tuHivi inawezekana vipi kutongozana huku , mbona kama mazingira ni magumu sana?
Fungua PM nikupige mtongozo moja makini sanaHivi inawezekana vipi kutongozana huku , mbona kama mazingira ni magumu sana?
Mtongozo usio na mbambambaFungua PM nikupige mtongozo moja makini sana
Mtongozo flani hawezi chomoa 🤪Mtongozo usio na mbambamba
Kwa kesi ya jamaa hapa huyu ni mwanaume inaonekana yupo mwanamke kamfata sasa hapo kwenye bold tunapajazaje?Either anakupenda kweli umemvutia kwa mara nyingine, au ni kitombi anatongoza tu kila mtu
Mbona unatutisha hivyo ndugu yangu!Wee nenda naye hadi mwisho... watu wanatongoza maghost, ngoja yaje kuwatokea ya kuwatokea.
Ila watu kwanini wanapenda kutongoza tongoza hovyo?
Tongoza ila unachokitaka, hukipati ng'oo [emoji41][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Wakati wenzenu huwa tunawainjoi hahaaEeh ukitongozwa mara 2 usilie lie
Labda aisee!Magumu kwako tu
Maana yale huyo ni KitombwiKwa kesi ya jamaa hapa huyu ni mwanaume inaonekana yupo mwanamke kamfata sasa hapo kwenye bold tunapajazaje?
😁 ukawa unamchora tuKuna huyo nilienda nae weee badae nikamuambia bwana mie fulani ahahaaa akasema alikuwa ananitania hapo kashaomba mtoko mara kibao shida nilikua mbali nae ningeonana nae kwa mara ya pili.
kubali mtongozo huoNgoja nisome comments.kuna phaller mmoja anajua sijamstukia 😄.mdogo mdogo tutafika tunakokwenda
Wanafanya mazingira yawe rahisi kwanza then wanatembeza mtongozoHivi inawezekana vipi kutongozana huku , mbona kama mazingira ni magumu sana?
Hahaa, ndiooo[emoji16] ukawa unamchora tu
kubali mtongozo huo
Au ndio mbinu za kupiga mizinga mara mbili 🤣🤣🤣Wakati wenzenu huwa tunawainjoi hahaa
Mtuvumilie tu lengo ni lilelile, upendoHahaa, ndiooo
Ee ukikaa vibaya unaliwa hela mara mbili mbiliAu ndio mbinu za kupiga mizinga mara mbili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaanza kukuzoea jukwaaniHivi inawezekana vipi kutongozana huku , mbona kama mazingira ni magumu sana?
Na namba zinakuwa tofauti au?Ee ukikaa vibaya unaliwa hela mara mbili mbili