Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki 🤣 lete namba nikutumie wasap
Mbususu imesalimika kweli?
 
Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki [emoji1787] lete namba nikutumie wasap
Wakuu huyu kashatoboa siri huku.
 
Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki 🤣 lete namba nikutumie wasap
Mwanaume ni mwanaume tu 😄
Kwahyo atafanya ya kiuanaume. Mazoea yanapozidi ujue kuna kifuatacho. Uwe tu tayari
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]imenikuta hiii niko namtathimin bado huyu mwamba aiseeee
Tuwe tunakumbushana...sio unasubiri nimeshamwaga yote kisha unaniambia mimi fulani.
 
Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki 🤣 lete namba nikutumie wasap
Enhee.. ikawaje sasa ukamtumia
 
Kuna huyo nilienda nae weee badae nikamuambia bwana mie fulani ahahaaa akasema alikuwa ananitania hapo kashaomba mtoko mara kibao shida nilikua mbali nae ningeonana nae kwa mara ya pili.
so unfair....Kama unanifahamu niambie toka mwanzo.
 
Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki [emoji1787] lete namba nikutumie wasap
Hahaha, kumbe si ngumu sana!
Lakini mpaka hapo mlengwa ametoa ushirikiano mzuri, mfano nisipo jibiwa pm ugumu upo pale pale.
 
Back
Top Bottom