Dah tusipowatongoza mlalamika tukiwatongoza napo mnatuita vitombiHapo ni ukitombi tu my wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah tusipowatongoza mlalamika tukiwatongoza napo mnatuita vitombiHapo ni ukitombi tu my wangu
😂😂😂 tema mateYaani hako katoto ni kachokozi sana😂
😂😂😂 sijakuita mieAbeee😂😂
Kitombi😅😅Either anakupenda kweli umemvutia kwa mara nyingine, au ni kitombi anatongoza tu kila mtu
Mwaka juziHahaa me umbea nimeanza lini
Mbona unaniharibia CV lakini
UsiwasikilizeTulikutana mtaani ikabidi tu tuwe mashost hivyo hivyo
inapendeza, ila wewe shikamoo 😄😄 umejua kunifurahisha jion ya leoHata nisingemmention
Hawezagi kukaa bila kujua nimeandika manini huku
Kwahiyo kwenye harakati zake za umbea angejua tu
Cc Lenie
Marahabaaaainapendeza, ila wewe shikamoo 😄😄 umejua kunifurahisha jion ya leo
🤣🤣🤣Alitoka na mimi kliniki
Kwenye ile kamusi yetu 😛🤣🤣🤣
Hivi unatoaga wapi majibu
Naomba nije nikupige mistary wewe maana naona unazunguka zunguka tu huku ndani😂😂Kuwaga mtulivu basi?🤣