Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Si ni bora hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kuna ile umemkimbia mtu na ID yake A
Akakujia na ID B halafu unaenda kukutana nae unakuta ni same person

Jamani kuna watu hawakimbiliki [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Kwa avatar yangu hyo wengi walikuja kwangu kuomba namba Kisha tuonane wanadhani mm Ni ke wkt huyo manzi alinibless tunda lake Kisha na mm nikamuwekea kweny dp yangu ,kumuenzi kwa SAS Yuko masomoni njee huko mtot wa kigogo mkubwa
 
Kwa avatar yangu hyo wengi walikuja kwangu kuomba namba Kisha tuonane wanadhani mm Ni ke wkt huyo manzi alinibless tunda lake Kisha na mm nikamuwekea kweny dp yangu ,kumuenzi kwa SAS Yuko masomoni njee huko mtot wa kigogo mkubwa
[emoji23]
 
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
 
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you

Hahahhaaaa Jamani hizi keybord zingekuwa transparent tumuone mwamba alivyoloa
 
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
Mbona hio ID ya kike? au ni LG LED TV 55''
 
Back
Top Bottom