Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Endelea kuishi kwenye hifadhi ya taifa hata profile Yako inakuonesha ni WA kuja

Ujanja wa Mtu ni Akili Yake siô sehemu anayoishi

Wewe unaishi Dar alafu Mtu wa mkoani akija ndàni ya Miaka mitano anakupita Kwa kîla kitu kuanzia Elimu, Pesa, Mwanamke mzuri n.k.
Sasa Nani Mjanja Hapo
 
Ishi pale ambapo kipato chako kilipo

Kama earnings zako zipo Mkoani jikite huko, kama deals zako za kuingiza Milioni milioni zipo DSM endelea kujikita huko.

Have got home both DSM na Mkoani

Unaweza kujisifia kuishi DSM miaka na miaka lakini ukipata shida ya laki 5 tu lazima uwapigie simu watu wa Mkoani kuomba wakukopeshe

Kwa namna hiyo Kuna haja gani kuendelea kuishi Jiji ambalo linakupa stress
Endelea kuishi kwenye hifadhi ya taifa mkuu maana ata profile Yako inakuonesha upo longido
 
Ujanja wa Mtu ni Akili Yake siô sehemu anayoishi

Wewe unaishi Dar alafu Mtu wa mkoani akija ndàni ya Miaka mitano anakupita Kwa kîla kitu kuanzia Elimu, Pesa, Mwanamke mzuri n.k.
Sasa Nani Mjanja Hapo
Mpaka anipite mlugaluga kama wewe Mimi nimeganda tu ndio maana nakuambia wewe ni mshamba
 
Hapo ulipo umeajiriwa na Watu wa Mikoani au ni jobless?
Ndio maana nikasema watu wamikoani ni washamba sana kwahiyo umekariri Kila mtu anaajiriwa kama nyie mnavyochunga ng'ombe sio Mimi maisha ya utumwa Sina na sitokuja kuyafanya kama wewe umeajiriwa endelea kuajiriwa Mimi naajiri masikini kutoka mikoani kama wewe
 
hongereni sana
 

Attachments

  • town.jpg
    town.jpg
    501.4 KB · Views: 7
Hapa ulipo unatumia Mtandao wa JF wa Mtu wa mkoani. Yaani umeajiriwa Bila Malipo semà Kwa vile Akili yako ndogo Huwezijua
Akili Yako wewe ndio ndogo unadhani Kila mtu anaajiriwa kama wewe unavyochunga ng'ombe ndio maana umeanza kuuliza Hilo swali sababu wewe ni mtumwa unatumikia mtu
 
😁😁😀😀na hili joto kajisweka huko buza kachumba ka1 choo na bafu la kushea halafu usiku tanesco wanakata umeme anakua kakaa kama kwenye microwave ila anajiona kawin maisha
Nani kakuambia dar Kuna joto masikini kama wewe ukiingia dar ndio unalipata joto
 
Back
Top Bottom