Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Jana nimeshangaa Simba kufurahia ushindi wa Azam wakati ni wapinzani wao kwenye kugombania nafasi ya pili!! Hivi ni umbumbumbu au ni kitu gani!? Au wanadhani labda wanagombea ubingwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mpo kwenye mbio za ubingwa🤣🤣kama unajua hesabu za jumlisha na kutoa ukiangalia msimamo utaelewa ni kwanini mechi ya Yanga ilikuwa ni bora Azam kushinda kuliko Yanga.
Kwamba sasa hivi Simba akishinda kiporo chake gap ni point 4 na sio 7.Kwamba mpo kwenye mbio za ubingwa🤣🤣
Ulitakaje uto?Wanashangilia kama vile wanaenda kushinda mechi zao, mbumbumbu kabisa 🤣🚮
Hujui hata kutoa na kujumlisha.Jana nimeshangaa Simba kufurahia ushindi wa Azam wakati ni wapinzani wao kwenye kugombania nafasi ya pili!! Hivi ni umbumbumbu au ni kitu gani!? Au wanadhani labda wanagombea ubingwa?
Hizi ni dalili kwamba hujui hata hesabu rahisi za kutoa na kujumlisha.Wajukuu wa Rage akili zao wanazijua wenyewe.
Mna ndoto za ubingwa? Siyo nafasi ya pili?Hizi ni dalili kwamba hujui hata hesabu rahisi za kutoa na kujumlisha.
Zingatia neno AkishindaKwamba sasa hivi Simba akishinda kiporo chake gap ni point 4 na sio 7.
Wewe nae usha kua punganiUkishabikia sana simba na yanga.
Akili za kichwani zina yeyuka kabisa.
Poleni sana vijana wa kitanzania.
Akishinda ndio. Akishindwa na Yanga angeshinda basi ingekuwa p10. Mbio za ligi zingeishia hapa. Kufungwa Yanga kumerefusha hilo.Zingatia neno Akishinda
ntacheka sana mke mkubwa akimaliza nafasi ya tatu,ili siku nyingine aache kumshabikia mke mdogo anapocheza na mumewe...Jana nimeshangaa Simba kufurahia ushindi wa Azam wakati ni wapinzani wao kwenye kugombania nafasi ya pili!! Hivi ni umbumbumbu au ni kitu gani!? Au wanadhani labda wanagombea ubingwa?