mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Hata hesabu za kujumlisha na kutoa tu nazo hujui mwanautopolo?
Kwahiyo ulitaka Yanga amfunge Azam ili gape la point 10 liongezeke Kati ya simba na Yanga ndipo tufurahi?
Pambaneni na hali yenu sisi hayo hayatuhusu , kila mtu ashinde mechi zake
Kwahiyo ulitaka Yanga amfunge Azam ili gape la point 10 liongezeke Kati ya simba na Yanga ndipo tufurahi?
Pambaneni na hali yenu sisi hayo hayatuhusu , kila mtu ashinde mechi zake