mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Mtibwa ikishuka daraja litakuwa ni jambo la kusikitisha. Ile timu iko vizuri sana ila inakosa tu mdhamini mwenye uchu wa mafanikio au mikakati ya kuifanya ifanye vizuri kwa kuwa na wachezaji kadhaa wenye uzoefu wakichanganyika na madogo walionao. Timu za kushuka ni kama Dodoma Jiji, Geita ambazo zipo zipo tu.Huu ndo msimamo wa Ligi ya NBC..
Simba ana Pts 45 wakati kacheza mechi 19 ...
bado ana vipolo viwili
Wakati huo azam ana Pts 47 na kacheza mechi 21..
Yanga ana pts 52 kacheza michezo 20..
Kama unatumia akili ungegundua kuwa mchezo wa Jana kama Simba angeshinda angekuwa na Pts 55..
Ambalo lingekuwa gap la Point 10 kwa simba..
Lakini sasa Gap linazidi kuwa Dogo sana..
View attachment 2938295
Kwa nini umeshindwa kuzingatia Yanga naye atakuwa bingwa kama "akishinda" mechi zake zijazoZingatia neno Akishinda
huna akili hata kidogo?? makitu yenye mwiko kwa nyuma yana maujinga mengi sana, simba ana mechi mbili mkononi akishinda zote anamwaacha azamu point 5 sasaa wewe bwege hujui hata hesabu ndogo za kutoa na kujumlisha?? hivi ndivyo sisi simba tulitaka utopolo akandwe huyo azamu tutamalizana naye baadaye hawezi kwenda popoteJana nimeshangaa Simba kufurahia ushindi wa Azam wakati ni wapinzani wao kwenye kugombania nafasi ya pili!! Hivi ni umbumbumbu au ni kitu gani!? Au wanadhani labda wanagombea ubingwa?
Azam angpigwa mngekuwa tayari kwenye nafasi yenu ya pili. Lakini hatuwezi jua, labda mnategemea ubingwa 🤣Huu ndo msimamo wa Ligi ya NBC..
Simba ana Pts 45 wakati kacheza mechi 19 ...
bado ana vipolo viwili
Wakati huo azam ana Pts 47 na kacheza mechi 21..
Yanga ana pts 52 kacheza michezo 20..
Kama unatumia akili ungegundua kuwa mchezo wa Jana kama Simba angeshinda angekuwa na Pts 55..
Ambalo lingekuwa gap la Point 10 kwa simba..
Lakini sasa Gap linazidi kuwa Dogo sana..
View attachment 2938295
Azam angepigwa na nyie kushinda viporo vyenu mngemuacha point 7 na kujihakikishia nafasi yenu.huna akili hata kidogo?? makitu yenye mwiko kwa nyuma yana maujinga mengi sana, simba ana mechi mbili mkononi akishinda zote anamwaacha azamu point 5 sasaa wewe bwege hujui hata hesabu ndogo za kutoa na kujumlisha?? hivi ndivyo sisi simba tulitaka utopolo akandwe huyo azamu tutamalizana naye baadaye hawezi kwenda popote
Ndyo tunategemea ubingwa kwa hiyo lazma hatufanyi makosaAzam angpigwa mngekuwa tayari kwenye nafasi yenu ya pili. Lakini hatuwezi jua, labda mnategemea ubingwa 🤣
Wasichokifahamu ni kuwa tunataka waendele na lilei ya nafasi ya pili na azam,kama tungemfunga azam mbio zisingenoga kutazama.Azam angepigwa na nyie kushinda viporo vyenu mngemuacha point 7 na kujihakikishia nafasi yenu.
Mngekuwa mnajua hesabu mngekaza wajelajela wasiwakande muwe kwenye mbio za ubingwa.Hizi ni dalili kwamba hujui hata hesabu rahisi za kutoa na kujumlisha.