Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Yani wewe ndumba ishakukolea kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu umewahi kumskia mtu akilalamika ame'exhaust muda mref kufanyia kazi suali tofauti na linavyotaka halaf akaja kung'amua baadae? Nafananisha na unachokipitia. Mi sicomment kukhusu ubora wa Lwandamina na incompetencies za Zahera, hasha! Nashangaa ulichocomment kwenye post inayoelezea mantiki tofauti na ulichoandika. Kaeleza kwamba appreciation kwa Mwinyi ni kwa 7bu ameilea team iliyosuswa na mtaalam Lwandamina na si kwa 7bu ya ubora wa Mwinyi.
 
Almanusura kivipi, au sababu aliongoza ligi, kama sababu ni hiyo kumbuka basi mbao ndiyo ingechukua maana ndiyo timu ya mwanzo kuongoza ligi.

Yanga msimu uliopita imepoteza mechi Sita na na kutoa suluhu 4, Bingwa ambae Club ya Simba aliooteza mechi tatu na suluhu tatu. Ukiangalia hapo yanga utaona aliachwa mbali sana.

Ukiachana kuchwa pont Yanga ilizidiwa magoli mengi sana na Simba.
Ni kweli Simba hawakusumbuka kiuchumi, ila ikiitoa Azamu, yanga hawakua na shida kuliko timu zingine.

Kumbuka Yanga pia ilipanda ndege kwenda kucheza mechi za ligi, kwahiyo, Ukiindoa Simba club ambayo ni bora yenye wachezaji wenye uwezo wanaolipata mahtaji yao vizuri, Club zinanazofuata ni Azami na Yanga kwahiyo yanga kushika nafasi ya pili siyo la kushangaza, ingeshangaza iwapo Simba isinge beba ubingwa alafu yanga Waka beba.
 
Upumbavu hauwezi kuachwa, ukiachwa hili neno halitatumiki na kwenye Lugha itabidi liondolewe, maana litakua halipo.
 
Lwandamina aliisusa timu kweli? Mwinyi Zahera alikuja mwaka gani akakuta timu iliyosuswa ikiwa na pointi ngapi? Akainua
ikawa ya pili?Hakuanza msimu uliopita?
 
Wewe kumbe ni mbumbu fc , Mwinyi amefundisha (France) kama kocha mkuu katika timu ya Feignes 2000-2010/(2013)(,FC Tubize (Belgium) 2010-2011, DC mtema Pembe 2014-2016. Mbumbu tulieni mwinyi Zahera CV zake ziko wazi.Acheni mchecheto.Anapo waeleza kuhusu soka habahatishi , Tatizo ninaloliona Upeo wa Zahera katika soka ni mkubwa kuliko uwelewa wa wanao mkejeli.
Tafuta CV yake Zahera alafu nyie mnao mpinga mjitathimin.
 

Ukocha wa timu una mambo mengi mno...unaweza kuwa ni mzuri wa tactics, technicalities lakini ukawa mbaya wa team management..makocha wengine ni wazuri wa psychology ya wachezaji....na wengine wazuri katika kuhamasisha na kuwapa morali tu...wengine wazuri katika kuunda muunganiko mzuri wa wachezaji hata kama viwango vya wachezaji ni vya kawaida tu...wengine ni wazuri wa physical exercises na kujenga stamina...wengine ni wazuri kujenga authority na discipline..mchezaji akimuona kocha anakuwa na hofu naye akifanya vibaya...Kimingi this is to do about or with the qualities of leadership in football...Zahera lazima ana kitu kimoja au hata viwili kati ya hivi au vitatu...kimoja ambacho mimi nadhani au naona kuwa Zahera anacho ni uhamasishaji na kujenga morali ya wachezaji...Hiki alikuwa anacho pia yule kocha wa Taifa Stars Mbrazil, Maximo...Halafu nadhani Zahera pia ni disciplinarian yaani mtu anayepambania nidhamu ya wachezaji kama alivyokuwa Tambwe Leya...Kwa maoni yangu kama siyo Zahera msimu uliopita Yanga ingeweza kushika hata nafasi ya 10 ...Kwa namna Yanga ilivyokuwa na hali mbaya kifedha Zahera alikuwa ni chaguo sahihi kwa Yanga na kuwafanya wachezaji kuhamasika au hata kulazimishwa kucheza bila fedha wakati mwingine...Naamini Wanayanga wengi wanampenda Zahera...wanaomchukia Zahera kwa maoni yangu wengi wao ni wanasimba kwani hawakutarajia Yanga ifanye viizuri kama ilivyofanya msimu uliopita pamoja na matatizo makubwa iliyokuwa nayo ya kifedha...Naamini pia kuwa kama siyo kufanyika kwa hujuma kubwa dhidi ya Yanga msimu uliopita Yanga ingeweza kutwaa ubingwa pamoja na matatizo yake ya fedha.......
 
Majibu kama haya ndio niliyoyataka , lakini siyo porojo za wanayanga wenzio
 
Feignes ni timu ya division 5 huko France. Tubize ya Belgium ni amateur football club.Kuna zaidi ya hapo kwa hizo timu unazodai.
Hana hata credetional ya kuwa kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Congo .
 
Feignes ni timu ya division 5 huko France. Tubize ya Belgium ni amateur football club.Kuna zaidi ya hapo kwa hizo timu unazodai.
Hana hata credetional ya kuwa kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Congo .
Ohoooo !!!!
 
Reactions: Tui
Feignes ni timu ya division 5 huko France. Tubize ya Belgium ni amateur football club.Kuna zaidi ya hapo kwa hizo timu unazodai.
Hana hata credetional ya kuwa kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Congo .
Hoja ilikua unadanganya watu Zahera hajawai kuwa kocha mkuu, sasa umekuja na Division za league, na Amateur ivi una uelewa sawasawa wa mpira kweli? Au ni chuki isiyo na sababu? vip kuhusu DC Motema Pembe? Je! Afrika kuna ligi ngap za soka ambazo ni profecional, kuna Makocha wangapi wenye Lesen daraja A ya Uefa? Aliye waita mbumbu mbu hajakosea.
 
Tatizo lako hujui hata kujenga hoja.Umedai anaweza kufundisha timu yeyote Ulaya kwa kuwa na UEFA licence A kama kweli anayo.Huu sio ukweli.Ulidai amefundisha timu za Belgium na Ufaransa ndio ukajibiwa kwamba ni timu ya division 5 na amateur.Hakuna kocha wa maana anafundisha division 5.Sijasema hayawahi kuwa kocha mkuu wa vitimu. Kama una ushahidi weka hapa. Nimesema hajawahi kuchukua ubingwa na timu yeyote.
Unakimbilia kutukana mimi sikutukani kwani nikikutukana watu hawataona tofauti yetu .Jibu hoja kwa hoja.
 
Yap walikuwepo sylesyd mziray kina tauzany nzoyisaba jack chamangwana nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…