Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Yani wewe ndumba ishakukolea kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acheni Upumbavu ninyi, Zahera anafanya kazi Yanga katika Mazingira Magumu
Kule kuiwezesha timu kushika nafasi ya pili na Almanusura ya Kutwaa Ubingwa
Mnafikiri ni Kazi ya Kitoto? Bila shaka haya majungu yameanza mapema kuna
kinachoogopwa, BADO NINA IMANI SANA NA ZAHERA..... TUACHIENI KOCHA
WETU.