Hivi uzuri wa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ni upi ?

Hv hii ulijibiwa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani Yanga ni kama wamelogwa na huyo kocha.. Kama wamewekewa Limbwata yani... Hawaoni wala hawsikii na wala huwaambi chochote kuhusu Mwinyi Zahera
Basi tukuajiri wewe uwe kocha kama simba nanyi mnalia ZAHERA afukuzwe kuna walakini furaha yenu ni Yanga kufanya vibaya sasa mnataka Zahera ang'oke mpate shida fikiri mara hiki ulicho comments
 
Kila nikimtizama na kumkumbuka marehemu Tambwe Leya, naona ipo haja ya kutafakari ni kipi anachokifanya Yanga huyu vuvuzela.
 
Kweli ww ndiye mpumbavu. UMEULIZWA MAFANIKIO YAKE KWA KLABU YA YANGA NI YAPI? Hebu yataje. USIPANIC. Taja tu mafanikio ya mwinyi zahera kwa yanga km Yale ya coach shungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…