MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kwahiyo watu wasiendelee kubisha kwamba binadamu wa kwanza alikuwa nyani waje tu kwenu kupata ushahidi usiotia shaka?Ndevu ndio urithi pekee mzee wangu kaniachia,mzee ana ndevu kama osama,.kwa wanawake wengine ndevu uchafu
Zangu zipo vizuri sana, dadaz wengi huvutiwa nazo. Lakini nawapaga onyo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]UONGO[emoji23]
Hii naenda kuchekea msituni kabisa watu wasinione
jaman[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko siwagi mara kwa mara.
Ebu tuonewangu nmeutia rangi nyeupe
Binzari mbili kwenye shingo
Wananiita papaa fololo muda wote nikipokea simu nasema UMEINGIZANA WAPI KASUMBALESA AU KIVU
basi nawaokotaaa
Yesjaman
Mambo ya mjini jf utayaweza basiiii husda nyingi sana humuMaskini shoga yetu mndengereko sijui hata alimchamba nani🤣🤣🤣🤣nimemmiss sana mwehu yule
Watakuwa wamemuonea wivu penzi lake na CountrywideMambo ya mjini jf utayaweza basiiii husda nyingi sana humu
Mimi ni raia mwaminifu tu jamani🤣🤣🤣🤣🤣We ni njagu?
Mie sio , ila tuachane na hayo sema mnatutesa sana mara ndevu mara hela mara gari na gari hamtaki vits mnataka range hahahha ngoja ninunue discover 4 nione kama nitatoboaWe njagu bhana ndio mnakatazwa kufunga ndevu