Hivi videvu vya siku hizi

Wanawake hamueleweki.

Mara usipokuwa na chaka kidevuni unaambowa kidevu kama cha mwanamke, haya sasa tusoponyoa tunaambiwa tunafanana na laboos wa kujilipua....

Kha
 
Shemeji wewe upande wa kidevu hakuna mgogoro,hapa Kikubwa ongeza kutafuta chapaa[emoji16][emoji16][emoji16]ukiongeza na mdogo wangu mwambie nimemmiss sana
Bidii naifanya vizuri kwenye chapaa, salamu zinafika kama zilivyo. Japo amekua busy sana sasa hivi hatulii kila siku safari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…