Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wapiii,Acha kabisa,,zinanyegesha mara dufu.....lazima ulowe
😆😆😆Usiku mwizi akiingia akishika videvu anajua nyie wote ni she...
unaona sifa mwenyewee😁😁🤣🤣🤣🤣Dah umsalimie bibichawote aliyetuletea matatizo duniani
Hujampata fundi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wapiii,
Sina la kusema😁😁😁😁🤣🤣🤣nitaendelea kuishi mkuu, nizidi kusimulia utukufu wa muumba.
Inaonekana unapenda sana zoezi la uvinza mkuu🤣Sina la kusema😁😁😁😁
Binafsi my wangu anakipenda kidevu changu kilichosheheni ndevu na yeye ndo ananipa ruhusa ya ku-prone au anani-prone yeye mwenyeweMuwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..
Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...
Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikate🤣🤣
View attachment 2748516
Mkuu hivi Kuna wengine huwa hawalipendi Hilo zoezi?hebu nipe uzoefuInaonekana unapenda sana zoezi la uvinza mkuu🤣
Acha niwe kihere here kujibu, ndio kuna wapo hawapendi kabisaMkuu hivi Kuna wengine huwa hawalipendi Hilo zoezi?hebu nipe uzoefu
Utafika umechoka sana mkuu🤣🤣Ndevu za kidevuni ni mahsusi kwa kuzamia uvinza, zinachomachoma hivi.
Huu ndio urithi pekee tulionao.🤣🤣