Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hali ya maisha kibongo bongo kitambi cha kufutia simu hakikwepeki🤣Asiwe na kitambi😅
🤣🤣🤣🤣 Jamani Leo msio na ndevu mmetolewa mifano mingi sana.. apple, tikiti,embe dodo na Sasa Humpty Dumpty the broken...Sisi wenye ganda la yai kama "Humpty Dumpty" tunaweka wapi sura zetuView attachment 2748948
Haahaaaahaaa dah picha limekaa mahala pake😆😆😆Sisi wenye ganda la yai kama "Humpty Dumpty" tunaweka wapi sura zetuView attachment 2748948
mwanaume kufuga nywele ndefu na ndevu ni kukiaibisha kichwa... Kwa mwanamke kufuga nywele ni sifa mojawapo ya kuitwa mwanamke...Una hoja, usikilizwee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
je nikiweka za bandia af kila tukiachana nazinyofoa... Akitak kuja kuonana na ww anabandika... Apo veep?Sipendi kabisa mambo ya Kidevu chenye upaa, yaani mwanaume anakuwa havutii kabisa
Naunga mkono hoja 👍Tutafute hela videvu hata beberu wanavyo
apo tupo sambamb... atachezea shingo badala ya ndevuSijaambiwa nimeshuhudia kwa macho yangu. Kama wewe una videvu vya design hiyo na una pesa basi upo kwenye list ya wachache.
Nimesema wengi, means sio wote.
😁 😁Ewaaaah hapo umetumia vizuri degree Yako😅
Aisee ..Sipendi kabisa mambo ya Kidevu chenye upaa, yaani mwanaume anakuwa havutii kabisa
Duh!!!Sasa mtu awe na kitambi kikubwa halafu Hana anakuwa kama ana mimba ujue😁😁😁
Kipo kidogo kidogo Cha kuvalia suti na kuchomekea😅😊😊☺️☺️😂😂Kwa hiyo Sasa tayari una kitambi?
Usifananishe wanaume na sources of soup... Wanaume sis watakatifu... Ndev nnazo lakn c nanyoa...