Hivi vigari vidogo vidogo vichafu vichafu vya zamani kama hasa IST na VITZ madereva vijana hawa wanafanya fujo sana barabarani

Hivi vigari vidogo vidogo vichafu vichafu vya zamani kama hasa IST na VITZ madereva vijana hawa wanafanya fujo sana barabarani

Gari za mishangazi yao hizo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakubwa watamu
Sio watamu tuu pia wanakua wanajua mambo....

We assume shangaz la tanga huko an anakuzingatia kila kitu ili badae mchuane an inakua kama mashindano na mda huo anakua yupo full gado..

Ukichek wasap group zake ni yale magroup ya makungwi sijui...
Wee unaachaje hapo...

Unajua hii inaitwa KONDA KANIBANA ,😂😂😂😂😂😂😂
 
Sio watamu tuu pia wanakua wanajua mambo....

We assume shangaz la tanga huko an anakuzingatia kila kitu ili badae mchuane an inakua kama mashindano na mda huo anakua yupo full gado..

Ukichek wasap group zake ni yale magroup ya makungwi sijui...
Wee unaachaje hapo...

Unajua hii inaitwa KONDA KANIBANA ,😂😂😂😂😂😂😂
Ha ha aaaa pole sana. Kula vizuri ushibe
 
Ni kweli kabisa hivi viuchafu vina overtake sana.kikiona kiupenyo kidogo tu kina overtake hadi vinakera sana.
 
Waacheni watoto wadogo waje kwangu kwa haraka na fujo zote barabarani.
Unakuta wewe ni kidume kabisa tena pandikizi la miraba minne la m-bantu halisi mwenye manyoya mengi kifuani na kwenye makalio kama dume la nyani au sokwe halafu humu unatumia ID ya kike🤣🤣🤣🤣
 
Unakuta wewe ni kidume kabisa tena pandikizi la miraba minne la m-bantu halisi mwenye manyoya mengi kifuani na kwenye makalio kama dume la nyani au sokwe halafu humu unatumia ID ya kike

Mbwa jike linabweka hapa. Naona nimelichukulia bwana ake
 
IST is one of the best car.Fuel consumption ndogo,gharama za service zipo chini na ni reliable car
Ndio maana ni gari ya kuhonga, usisumbuliwe gharama za mafuta na matengenezo! Wewe jifanye Eloni Maski kahonge Subaru Forester utakoma ujuaji! Ukimwekea wese la elfu 50 Jumatatu, Jumatano asubuhi simu, honey, nimejaziwa mafuta hapa kituoni kumbe sina hela, nilipie plizi nakutumia paybili namba!
 
Japo umeandika Kwa dharau sana, nakubaliana na wewe 100%
Sijawahi kuona Executive machines kama Mercedes Benz zinaendeshwa kihuni mjini.
Unajua nini, sometimes shaming is the name of the game. Mtu yeyote mwenye kaa IST kachafuchafu akisoma huu uzi ataacha kuendesha kwa fujo. Issue ni kwamba ukiwa na gari nzuri huwezi kuwa una risk kutanua ovyo ovyo ukwaruzane na bajaji na bodaboda. Kurudishia metalic paint sio mchezo Mkuu.
 
Ndio maana ni gari ya kuhonga, usisumbuliwe gharama za mafuta na matengenezo! Wewe jifanye Eloni Maski kahonge Subaru Forester utakoma ujuaji! Ukimwekea wese la elfu 50 Jumatatu, Jumatano asubuhi simu, honey, nimejaziwa mafuta hapa kituoni kumbe sina hela, nilipie plizi nakutumia paybili namba!
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom