Hivi vimbwa vina kazi gani? Naona vinapendwa sana na wadada wa mjini

Hivi vimbwa vina kazi gani? Naona vinapendwa sana na wadada wa mjini

Hao wanangata,wanatoa signal wakiona hali ya sintofaham
Nishakwendaga nyumba moja nchi fulani kila ukinuka mbwa kanabweka kanakufata
Hawa ni vimbelembele sana

Ova
Yaa vina kelele sana, kikisikia hata jani limetikisika tayari kanabweka....
 
Hao mbwa ni wazuri Sana ndani mchawi na kibaka atii timu, kelele yake kero kwao. So ishu ya usafi kujisaidia hovyo sijui inakuaje.
 
Kuna kavideo naoana inatrend San kadogi.analamaba k ya mwanamke Tena wa kibongo HV viubwaaaaa nikikionaga kinatembezwa na wadada natamani kukibutua
 
images (1).jpeg
 
Kuna kavideo naoana inatrend San kadogi.analamaba k ya mwanamke Tena wa kibongo HV viubwaaaaa nikikionaga kinatembezwa na wadada natamani kukibutua
😂😂
Ukisikia Ke wako anataka kukafuga jiandae kisaikolojia, maana kupewa mzigo utakuwa unasikia tu kwa wenzio!
 
Hii mentality ya kusema hvyo vimbwa Ni kwa ajili ya kulamba sehemu za Siri sijui imetokea wapi?

Hakuna mnyama asiependa chumvi,kuanzia mbuzi mpk binadamu mwenyewe....

Kufuga aina ya hao mbwa Ni hobby Kama ilivyo kufuga sungura,simbilisi...

Kumekuwa na hulka fulani ya kuzusha Jambo sababu tu ya kutokuwa na general knowledge ya jinsi dunia inavyoenda ....

Ndio maana mpk Leo Kuna watu wanaamini madaraja kujengwa usiku Basi ujue Kuna kafara inatolewa kisa tu mtu keshazoea kuona madaraja ya jkt yanayojengwa kwa dharula Basi anaamua kuzusha tu na wengine wanalidakia nakuliendeleza.....

Ujinga Ni janga kubwa Sana kwa taifa
Hiyo ishu ya madaraja kujengwa usiku nimesikia ni kutokana na ushikaji wa saruji mzuri zaidi kwa hali ya hewa ya usiku.
 
Back
Top Bottom