Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Watakuwa ni malaika wa mzee wa upako, wamekuja kumuongezea kilevi kwenye konyagi zake.
 
Mafukara bwana ...ufukara mbaya sana hadi manabii..hayo unayoyaona huko.juu ni ya tajiri wa kutisha elon musk ambaye siku si nyingi atatangazwa kua trilionea
 
Wachungaji mithili ya Kibwetere watakuwa wamesha danganya wamama wa kibongo wasiokuwa na imani isiyokaribia hata robo ya mbegu ya haradali.
 
Ila hata mie niliwahi ona ila haikuwa kama hivyo vyenyewe ilikuwa kama nyota zimepangana zinatembea
 
Mbona wengine wanasema ni nyoka aina ya Anakonda🤭🤭🤭
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Mkuu hata kapicha🤠 🤠
 
Hivi iko kitendo cha Kupitisha mifumo yake kwenye anga la watu ni sawa kweli...

Huyo Elon anabaraka zote za kufanya hivyo nchini kwetu? naona sio vizuri kwa usalama na harakati zetu kama nchi.

Mi nadhani afuate sheria za nchi, hakukubaliwa kutoa huduma yake nchini si kwa bahati mbaya... Inakua haina maana hana huduma anayotoa lakini vifaa vyake vinaendelea ku-operate.
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Iran huyo anampiga israel
 
Hivi iko kitendo cha Kupitisha mifumo yake kwenye anga la watu ni sawa kweli...

Huyo Elon anabaraka zote za kufanya hivyo nchini kwetu? naona sio vizuri kwa usalama na harakati zetu kama nchi.

Mi nadhani afuate sheria za nchi, hakukubaliwa kutoa huduma yake nchini si kwa bahati mbaya... Inakua haina maana hana huduma anayotoa lakini vifaa vyake vinaendelea ku-operate.
Neno hili lisipuuzwe.
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
NI SETELLITE ZA PDIDY ZINAWATAFUTA MONDI NA TALE MAANA WALIKUWA WATAMU MNO KWENYE 6 kwa6
 
Ni kweli. Hata mimi nimeviona majira ya daa moja jioni. Nilivipiga picha. Ngoja niviweke hapo
20241024_190543.jpg
 
Back
Top Bottom