Umeshajipigia Kampeni umeona imeshindikana, sasa umegeukia kwa Pascal Mayala.Sito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Sidhani kama kulitumikia taifa, ni mpaka uwe na nafasi kubwa serikalini! Binafsi, Pascal Mayalla namuona ni mmoja ya Watanzania wenye mchango mkubwa kwenye Taifa hili, hasa kwenye kuelimisha wengine, na mimi ni mmoja ya wafaidika naye, pamoja na kuwa sijawahi kuonana naye live! Pia hapa JF wapo wengi sana wanaotoa misaada ya ushauri,pamoja na kuwa hawapo Serikalini, ambayo hatuwezi kuipata kutoka hata kwa Waziri MWANA FA!Sito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Sawa boss, ungejua siasa ni akili ungenyamaza kimya na kusubiri matokeo. Sisi huwa hatuchoki wala kuzimia emu kaa kwa kutulia usubiri tuone.Umeshajipigia Kampeni umeona imeshindikana, sasa umegeukia kwa Pascal Mayala.
Wewe unadhani huyo ni wa kupigiwa Kampeni? Huyo alishatusua kitambo, tatizo lenu mnadhani kila kitu ni cha kutangazwa au kila mtu ni wa kuteuliwa kwenye hizo nafasi mlizokaririshwa
Siasa hii ya bongo ndiyo inayohitaji akili? Siasa zenu n8 Uchawa tu, hakuna akili inayohitajika.Sawa boss, ungejua siasa ni akili ungenyamaza kimya na kusubiri matokeo. Sisi huwa hatuchoki wala kuzimia emu kaa kwa kutulia usubiri tuone.
Siku wanasiasa wa bongo wakianza kutumia akili mi nita cancel safari zote za nje ya nchi. Nyie mnajua uchawa tu.Sawa boss, ungejua siasa ni akili ungenyamaza kimya na kusubiri matokeo. Sisi huwa hatuchoki wala kuzimia emu kaa kwa kutulia usubiri tuone.
Soon atapata, Pascal Mayalla alifanya kazi na JK, JK na Mama hawatofautiani lugha, ni suala la muda tuSito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Sito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Amekutuma eeh? Pamoja na kujikomba kote kule na nyuzi za kinafiki bado hajateuliwa tu?? Pole yake, Wallah!!Sito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Mama atuone mweee. Nasisi tupo tayari kufanya kazi naye.Mama ameishasoma, kacheka ila ataliangalia
Sito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Kwa kuanzia Bwana Pascal Mayalla anafaa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya au mkurugenzi au mbunge wa kuteuliwa. Kati ya hizo nafasi hapo zote zinamfit Bwana Pascal Mayalla.