mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Hapo ndio ushamtibulia njia yake! hata kama alikua anafikiriwa huyo ndio basi tenaSito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Kwa kuanzia Bwana Pascal Mayalla anafaa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya au mkurugenzi au mbunge wa kuteuliwa. Kati ya hizo nafasi hapo zote zinamfit Bwana Pascal Mayalla.
. anashindwa at kumbembeleza jkSoon atapata, Pascal Mayalla alifanya kazi na JK, JK na Mama hawatofautiani lugha, ni suala la muda tu
Utakuja na Multiple IDs zako zote Kudadadeki ila hakuna Rais mwenye Akili akapoteza muda wake Kukuteua / Kumteua katika SerikaliSito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Kwa kuanzia Bwana Pascal Mayalla anafaa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya au mkurugenzi au mbunge wa kuteuliwa. Kati ya hizo nafasi hapo zote zinamfit Bwana Pascal Mayalla.
Muache namba tu [emoji1]Mama atuone mweee. Nasisi tupo tayari kufanya kazi naye.
Mm,hebu tupe vigezo ambavyo vinamfanya Paschal kufaa kuteuliwa kuwa kiongozi wa kitaifa,usibwate tu.Au kakutuma kumpigia debe,maana post yenyewe imekaa kidebe debe hivi.Sito andika sana katika uzi huu bali nitatoa swali tu.
Hivi viongozi wetu mnajiskiaje kwa kuto mteua Pascal Mayalla kulitumikia taifa letu?
Yaani hapa lazima kieleweke.
Kwa kuanzia Bwana Pascal Mayalla anafaa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya au mkurugenzi au mbunge wa kuteuliwa. Kati ya hizo nafasi hapo zote zinamfit Bwana Pascal Mayalla.
Da we mzeeUnateua kikongwe aliyekataliwa na Chama chake ili umpeleke wapi ?
Wanawe akina Lijuakali , Nassary na Joketi ni ma DC , unataka huyu mzee ashiriki semina elekezi na hawa ?
Ujana wake wote kapuyanga uzeeni ndio mnamtaka ?