Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

Sema tu hii nchi watu wengi hawana hata ABC ya sheria
Hata Mabeyo haruhusiwi kupanda gari ya umma bure sembuse Sajenti, koplo au Private soldier
Ndio maana serikali inajiamulia tu jambo lolote na wananchi kimya

Ma ofisa wa Jeshi wana discipline sana wala huwezi kuwakuta wakitaka kupewa huduma yoyote ile bure bure,wenye shida hizo labda ni wale washkaji wenye vyeo vya chini.

dodge
 
Ma ofisa wa Jeshi wana discipline sana wala huwezi kuwakuta wakitaka kupewa huduma yoyote ile bure bure,wenye shida hizo labda ni wale washkaji wenye vyeo vya chini.

dodge
Yes. Afisa wa TPDF ni very smart woman /man kuliko maafisa wa majeshi mengine.
Utamwona Afisa wa Magereza na sare zake kapanda daladala, aibu naona mimi
 
Yes. Afisa wa TPDF ni very smart woman /man kuliko maafisa wa majeshi mengine.
Utamwona Afisa wa Magereza na sare zake kapanda daladala, aibu naona mimi
Hahah aisee ni kweli mkuu,JW Officers wako tofauti kabisa na hawa jamaa zetu wengine.

dodge
 
Sema tu hii nchi watu wengi hawana hata ABC ya sheria
Hata Mabeyo haruhusiwi kupanda gari ya umma bure sembuse Sajenti, koplo au Private soldier
Ndio maana serikali inajiamulia tu jambo lolote na wananchi kimya
Kiutaratibu askari anapokuwa na uniform na yupo kituoni akisubiri usafiri akipanda gari huwa hatoi nauli maana yupo kwaajili ya usalama wa chochote kitakachotokea yeye ndio anakuwa mlengwa namba moja na kwa kawaida kama ni gari ya abiria inayofanya ruti ndani ya mkoa hapaswi kulipa nauli ila si nje ya mkoa na pia kama wako wengi kituo kimoja hawatakiwi kupanda gari ya abiria zaidi ya 3 maana ile siyo gari ya kazi ni gari ya biashara wanajeshi ni waungwana sana sidhani kama kuna wanajeshi wa hivyo unaowasema wewe sh 100 haiwezi kumvua nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiutaratibu askari anapokuwa na uniform na yupo kituoni akisubiri usafiri akipanda gari huwa hatoi nauli maana yupo kwaajili ya usalama wa chochote kitakachotokea yeye ndio anakuwa mlengwa namba moja na kwa kawaida kama ni gari ya abiria inayofanya ruti ndani ya mkoa hapaswi kulipa nauli ila si nje ya mkoa na pia kama wako wengi kituo kimoja hawatakiwi kupanda gari ya abiria zaidi ya 3 maana ile siyo gari ya kazi ni gari ya biashara wanajeshi ni waungwana sana sidhani kama kuna wanajeshi wa hivyo unaowasema wewe sh 100 haiwezi kumvua nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa lakini mbali na uungwana wao wanapenda baadhi yao wanapenda sana utemi,sidhani kama alivyosema kitambulisho alimaanisha cha Nida na haya mambo ya nina kitambulisho tunakutana nayo sana.
 
Mkuu unatoaje lawama kwa wapiganaji wetu kisa huyo raia aliyetoroka mafunzo ya mgambo! To be honest sijawahi ona makamanda wetu wanaleta ubabe kisa tu wana mamlaka ktk nchi.

5/5
Tena wapo na wanafanya sana!
Masikini raia wengi hawatambui haki zao na hao so called wapiganaji wanatumia sifa hiyo na vitisho..
utadhani wao ndio muhimu kuliko wengine!Washamba afu malimbukeni sana.
Labda wenye vyeo..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiutaratibu askari anapokuwa na uniform na yupo kituoni akisubiri usafiri akipanda gari huwa hatoi nauli maana yupo kwaajili ya usalama wa chochote kitakachotokea yeye ndio anakuwa mlengwa namba moja na kwa kawaida kama ni gari ya abiria inayofanya ruti ndani ya mkoa hapaswi kulipa nauli ila si nje ya mkoa na pia kama wako wengi kituo kimoja hawatakiwi kupanda gari ya abiria zaidi ya 3 maana ile siyo gari ya kazi ni gari ya biashara wanajeshi ni waungwana sana sidhani kama kuna wanajeshi wa hivyo unaowasema wewe sh 100 haiwezi kumvua nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo sheria ya mwanajeshi au askari kupanda gari bure imeandikwa kwenye katiba gani?
Sababu uliyoitoa kwamba askari yupo kwenye kulinda usalama wa raia ni ya kipumbavu.
Kwa sababu tukianza kufuatisha hizo sababu hata Daktari naye atasema apande bure kwa sababu anakwenda kuokoa maisha ya wagonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema tu hii nchi watu wengi hawana hata ABC ya sheria
Hata Mabeyo haruhusiwi kupanda gari ya umma bure sembuse Sajenti, koplo au Private soldier
Ndio maana serikali inajiamulia tu jambo lolote na wananchi kimya
Hata wenye magari hawajui sheria ndio maana wanajaza hadi kusimamisha asa wao wanamakosa wataonaje kosa la mwingine hivyo kitaalamu inaitwa ngoma droo ukiwabana nao wanakubana kitu kinabalance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom