Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Dar imekuwa overrated kinyama

Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Mkuu ukitembelea mikoa/miji mingine ndo utajua kuwa mtazamo wako siyo sahihi. Dar ndo Tanzania na ndo maana wanasiasa na wafanya biashara asilimia 99.99999 wanaishi au wana makazi (nyumba) Dar.
 
Haina haja ya kuijadili DSM tulete mifano nikiwa point A nilikuwa hivi na baada ya kuja DSM umepata nini, na kabla ya DSM ulikuwa na vigezo gani vya upambanaji, au vya kupatia pesa ambavyo havikufanya kazi kwingine.

Wenye pesa za kilimo, mbao, madini, mashamba ya miti, na tunaosafiri kwenye cities mfano tu Africa mashariki haina haja ya kuongea sana. Riziki ni Mungu.

Pesa ni majaaliwq ya Mungu katika njia zako, iwe mikono, miguu, macho, mdomo, masikio, na mengine mengi.

Dsm should be credited comparatively and with specific criteria. It starts with oneself. How good and how bad is Dar treating you since when, when you had what of which was the same before being in DSM, and with the same attributes that are with you ukiwa DSM have tested urself mikoa mingine.

Life reflections are based on multiple control parameters.
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
You are right. Mawaziri wote walihamishiwa dodoma lka wanalala Dar kazi wanaamkia dodoma
 
Geneva my foot, yani DSM ukisuka mipango yako vizuri milioni 50 hizi hapa unazichungulia issue ni kukutana na watu sahihi kwenye harakati zako. Unajua watu wa DSM wanaweza kukupa hata ramani za kutoka ila huko mikoani watu wanakunja sana...😂😂😂
Uchawi sana mkoani
 
Jishangae wewe Kwa hoja yako. Nasisitiza tena tuko nyuma sanaaa. Uko U.k ,France, south A au USA yote yanayoitwa majiji ndani ya hiyo nchi karibia yanafanana kuanzia miundo mbinu na huduma za kijamii wakati sisi hapa ni hamna Kitu.
Kwa hiyo sahivi umeamia kwenye miundonbinu Tena umetengeneza hoja nyingine we ni koboko alafu inaonyesha hujui unachosimamia

Point yako ya kwanza kwanin dar ni dominant ukawa unashangaa nikakukumbusha hata nchi nyingine Kuna miji ambayo ni infrastructure nikakutoea mfano u.k hakuna mji unakaribia London, au ni mji gani ufaransa unakaribia Paris, unaongea vitu usivyovijua

point ya mleta uzi sio mambo ya infrastructure Bali opportunity zilizopo dar ni nyingi tofauti na miji mingine
 
Ndio kila kitu nini? usifananishe nchi za watu walioendelea na nchi za Dunia ya Tatu kama Tanzania. Hata kisoka tuu England timu maarufu na kubwa hazipo London

USA- mtu aliyepo LA haitaji kufata chuo kikuu NY

China - Beijing, shanghai, Guanghzou, Shenzen, yani kupo sawa tuu mtu halazimiki kwenda kwingine

Hayo mambo ya Dar, Nairobi, Lagos yapo sana Africka ambapo nchi ni masikini hivyo concentration zote zinafanyikia eneo moja
Nani kakudanganya new York ndo kila kitu asikudanganye mtu same kwa china Shanghai ndo mji wa kibiashara

Tunaongelea opportunity we unaongelea mambo ya mpira hivi unaakili timamu kweli, kwakusaidia timu za London ndo zinaongoza kwa kuwa na gharama kubwa za tiketi za kuingia uwanjani lakin point ni opportunity na sio mpira siku nyingine jikite kwenye mada

Unavyosema concentration vip France kila kitu kipo Paris, same kwa Russia kila kitu kipo Moscow ukienda south Korea vitu vingi vipo Seoul na hizo zote ni developed countries
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Unyama Kaka umenifunza kitu mnyamwezi
 
Mimi life limenipiga hapo dar baada ya kumaliza chuo nimepigiga for 5 consecutive years, ajira hakuna unaambiwa usichague kazi ila izo kazi zenyewe ambazo haupaswi kuchagua hazipo ukijimix kwenye kijiwe cha kuosha magari na wana unatolewa nje, ukisema utafute hata deiwaka tu za saidia fundi napo bila bila kulala njaa ni utaratibu wa kawaida kabisa yaani ule msoto msoto kweli stress, hauna hata hela ya kula, masimango ya watu, kudhalaulika, nilikonda mwili uneisha kabisa hapo hapo unafikiria matarajio waliokua nayo ndugu kwako ukimaliza chuo yaani hata demu aje uchi wa mnyama mashine haidindi ikafika hatua nikawa mpaka naongea peke angu barabarani nikaona sasa naelekea kuwa kichaa ikabidi nije huku kijijini kupata utulivu wa akili kidogo wakati nafikiria my next move sasa hizi shuhuda zinazotelewa hapa ni kama vile ukiwa dar fursa nje nje ndo nabaki kushangaa dar hii hii niliyoikimbia au kuna dar mbili hapa tanzania
Sehemu yeyote kama huna hela lazima uteseke hata US
 
Back
Top Bottom