Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Ni kawaida kwa Arusha hata buguruni au riverside panapazid Arusha kwa nyakati za usikuArusha mafala sana nina branch yangu ya biashara kule kila niiienda saa 2 mjini watu wameisha wamelala ubwege gan huo? Mkoa wa kifala sana