Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Vijana wenzako wa kahama na njombe uko wanawekeza kwenye kilimo wananunua masemi na kufungua maduka kariakooo we uko busy kuzurula mjini kama una akili dar ni sehemu ya kufanya biashara ila kuaccumulate capital ni ngumu.

Dar ukiwa na million ni ngumu kufanya uwekezaji utakaokutoa kimaisha .

Ila baadhi ya mikoa million inaweza kukuzalia hata million 10 ndani ya mwaka mmoja

Ila yote kwa yote inategemea na akili yako na uwezo wako wa kuziona fursa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Dar ukiwa na laki Moja unaanza safari yako ya Umillionaire
 
Kila la kheri mkuu. Ila jaribu kufocus kwenye vitu vingine pia mkuu you never know unaweza pata sehemu ukawa comfortable zaidi huku ukijipatia kipato chako. Ajira zenyewe Masimango kibao
Ni kweli ndugu yangu, kikubwa tupo hai tu, na wenzetu ambao mmeshakaa kwenye mstari pale mnapotu-motivate jitahidi kutuonesha njia za michongo, motivation speeches nyingi zinekaa katika mtindo wa masimango na show-offs kitu ambacho akimsaidii hustler zaidi ya kuzidi kum-confuse tu
 
Mikoani hakuna huduma masaa 24hr, huwezi ukaamka saa nane usiku ukaenda kununua dawa, kinga, hata chakula, uko Arusha itabidi uende umbali mrefu kuvipata hivyo vitu na una weza husivipate na uko mikoani Huwezi kuamka saa 5 alfajiri ukapata soupo au chai kama unawai sehemu una njaa itabidi usubiri mpaka saa mbili maduka yafunguliwe ni tofauti na dar ukiitaji kitu kinapatikana kwa wepesi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Muongo
Bqsi it depends na wapi unaishi..

Quas pharmacy AIM mall wako 24/7 .. Majengo watakuwa served na Sakina pia..

Njiro quas pia iko. 24/7 tunapata huduma

Usiongee usilolijua

Mabaa yanafanya kazi, why hizo supu zikosekane? Sina jibu hapo sababu mimi sifikagi sehemu hizo
 
Ni kweli ndugu yangu, kikubwa tupo hai tu, na wenzetu ambao mmeshakaa kwenye mstari pale mnapotu-motivate jitahidi kutuonesha njia za michongo, motivation speeches nyingi zinekaa katika mtindo wa masimango na show-offs kitu ambacho akimsaidii hustler zaidi ya kuzidi kum-confuse tu
Wenzetu waliofanikiwa watatupa michongo ni swala la muda tu.
 
Dar imekuwa overrated kinyama

Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Tembelea at least mikoa 10 tofauti na Dar Kisha rudi Dar I am telling you uta-bust kwa hasira
  • Arusha - Longido, Monduli, Ngorongoro, Meru, Karatu & Arumeru
  • Mwanza - Ukerewe, Magu, Sengerema, Misungwi, Kwimba, Ukerewe, Nyamaganga & Ilemela
  • Tabora - Igunga, Nzega, Sikonge,Urambo & Uyui
  • Kigoma - Kasulu, Buhigwe, Kakonko, & Uvinza
  • Tanga - Bumbuli, Handeni, Korogwe & Lushoto
  • Moshi - Kilimanjaro
  • Geita - Bukombe & Chato
  • Bukoba - Kagera, Biharamuro, Karagwe, Ngara, Misenyi & Kyerwa
  • Morogoro - Gairo, Kilombero-Ifakara, Kilosa, Mvomero, Malinyi, Ulanga
  • Mbeya - Chunya, Kyela, Mbalali & Mbeya Mjini
  • Iringa - Kilolo, Mafinga & Mufindi
  • Mtwara - Masasi, Mikindani, Newala & Tandahimba
  • Rukwa - Sumbawanga, Kalambo & Nkasi
  • Katavi - Mpanda, Nsimbo & Mlele
  • Ruvuma - Songea, Madaba, Mbinga, Nantumbo, Nyasa & Tunduru
  • Dodoma - Chamwino, Chemba, Kongwa, Kondoa, Bahi & Mpwapwa
  • Pwani - Kibaha, Bagamoyo, Kibiti, Kisarawe, Mafia, Mkuranga, Rufiji & Chalinze
  • Njombe - Rudewa, Makambako & Wang'ingombe
  • Lindi - Kilwa, Ruangwa, Nachingwea & Mtama
  • Bariadi - Simiyu
  • Shinyanga - Kahama, Kishapu, Msalala & Ushetu
  • Songwe - Vwawa
  • Mara - Musoma, Bunda, Rorya, Serengeti, Tarime & Butiama
  • Manyara - Babati, Hanang, Kiteto, Simanjiro & Mbulu
  • Pemba Kasikazini - Wete
  • Pemba Kusini - Chake Chake
  • Unguja Kasikazini - Kikokotoni
  • Unguja Kusini - Koani
  • Unguja Mjini Magharibi
Chagua hapo mikoa 10 tu kati ya hio iliyopo kwenye orodha kisha kaitembelee kwa ziara mkoa mmoja mmoja kisha ukimaliza rudi Dar-Es-Salaam alafu fanya tathmini zako utagundua kitu anza tena tembea sasa anzia Ubungo, Kinondoni, Ilala, Temeke mwisho nenda kapande pantoni mpaka Kigamboni...

Ukimaliza hapo fanya tathmini yako tena utapata jibu..

Umezaliwa Manzese umekulia Manzese umesoma Manzese umeanza kazi Manzese hili ndio tatizo hautembei hauwezi kuona kipi ni kipya na kipi ni cha zamani..
 
Tembelea at least mikoa 10 tofauti na Dar Kisha rudi Dar I am telling you uta-bust kwa hasira

[*]Arusha - Longido, Monduli, Ngorongoro, Meru, Karatu & Arumeru

[*]Mwanza - Ukerewe, Magu, Sengerema, Geita, Misungwi, Kwimba, Nyamaganga & Ilemela

[*]Tabora - Igunga, Nzega, Sikonge,Urambo & Uyui

[*]Kigoma - Kasulu, Buhigwe, Kakonko, & Uvinza

[*]Tanga - Bumbuli, Handeni, Korogwe & Lushoto

[*]Moshi - Kilimanjaro

[*]Geita - Bukombe & Chato

[*]Bukoba - Kagera, Biharamuro, Karagwe, Ngara, Misenyi & Kyerwa

[*]Morogoro - Gairo, Kilombero-Ifakara, Kilosa, Mvomero, Malinyi, Ulanga

[*]Mbeya - Chunya, Kyela, Mbalali & Mbeya Mjini

[*]Iringa - Kilolo, Mafinga & Mufindi

[*]Mtwara - Masasi, Mikindani, Newala & Tandahimba

[*]Rukwa - Sumbawanga, Kalambo & Nkasi

[*]Katavi - Mpanda, Nsimbo & Mlele

[*]Ruvuma - Songea, Madaba, Mbinga, Nantumbo, Nyasa & Tunduru

[*]Dodoma - Chamwino, Chemba, Kongwa, Kondoa, Bahi & Mpwapwa

[*]Pwani - Kibaha, Bagamoyo, Kibiti, Kisarawe, Mafia, Mkuranga, Rufiji & Chalinze

[*]Njombe - Makambako & Wang'ingombe

[*]Lindi - Kilwa, Ruangwa, Nachingwea & Mtama

[*]Bariadi - Simiyu

[*]Shinyanga - Kahama, Kishapu, Msalala & Ushetu

[*]Songwe - Vwawa

[*]Mara - Musoma, Bunda, Rorya, Serengeti, Tarime & Butiama

[*]Manyara - Babati, Hanang, Kiteto, Simanjiro & Mbulu

[*]Pemba Kasikazini - Wete

[*]Pemba Kusini - Chake Chake

[*]Unguja Kasikazini - Kikokotoni

[*]Unguja Kusini - Koani

[*]Unguja Mjini Magharibi

Chagua hapo mikoa 10 tu kati ya hio iliyopo kwenye orodha kisha kaitembelee kwa ziara mkoa mmoja mmoja kisha ukimaliza rudi Dar-Es-Salaam alafu fanya tathmini zako utagundua kitu anza tena tembea sasa anzia Ubungo, Kinondoni, Ilala, Temeke mwisho nenda kapande pantoni mpaka Kigamboni...

Ukimaliza hapo fanya tathmini yako tena utapata jibu..

Umezaliwa Manzese umekulia Manzese umesoma Manzese umeanza kazi Manzese hili ndio tatizo hautembei hauwezi kuona kipi ni kipya na kipi ni cha zamani..
Mkuu umemaliza
 
Umezaliwa Manzese umekulia Manzese umesoma Manzese umeanza kazi Manzese hili ndio tatizo hautembei hauwezi kuona kipi ni kipya na kipi ni cha zamani.


ndg usitutishe, sisi wengine tumezunguka sana hii nchi. tumefanya sana utalii wa ndani, tumefika mikoa mbalimbali na wilaya zake. binafsi nimeyaona mazuri na mabaya ya sehemu mbalimbali za tz. huna la kunidanganya.

kuna wakati mpaka najihisi mimi ni vasco da gama wa tanzania

pamoja na kuizunguka nchi kote huko, bado hunielezi kitu kuhusu dar es salaam. dar iheshimiwe.

tazama hapa picha za google map uone timeline yangu ya kuizunguka tz.
IMG_20220928_204600.jpg
IMG_20220928_204645.jpg
IMG_20220928_204706.jpg
 
ndg usitutishe, sisi wengine tumezunguka sana hii nchi. tumefanya sana utalii wa ndani, tumefika mikoa mbalimbali na wilaya zake. binafsi nimeyaona mazuri na mabaya ya sehemu mbalimbali za tz. huna la kunidanganya.

kuna wakati mpaka najihisi mimi ni vasco da gama wa tanzania

pamoja na kuizunguka nchi kote huko, bado hunielezi kitu kuhusu dar es salaam. dar iheshimiwe.

tazama hapa picha za google map uone timeline yangu ya kuizunguka tz.
View attachment 2370969View attachment 2370970View attachment 2370971
Umechanganya mafaili mkuu nilikua namjibu huyu 👇😬😬😬 angalia mbele kuna shimo hapo👉🏾🕳️👇🥴
Dar imekuwa overrated kinyama

Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Kwa maneno machache tuu "Dar ndo kila kitu kwa hapa Tanzania"
 
Dar ni Kila kitu mazew Nina miaka 10 naishi mkoa

Nimezaliwa na kukulia dar na baadhi sehemu ya elimu yangu nilipata dar

Lakini katika hio miaka 10 ya kuishi mkoani sijawahi itoa dar moyoni.

Nimegoma kujenga mkoani.

Ndoto zangu ni dar.

Nikipata kajilikizo tu nakimbuliaga dar[emoji1][emoji1787].

Kuishi mkoani unakuwa mzembe mzembe kwenye utafutaji.

Mkoani kilimo tu kama hakuna fursa ya kilimo labda uwe mganga.
Je, umewekeza kitegauchumi Dar?
Umegoma kujenga mkoani, je umejenga Dar?
Kuwa makini na "time" Mkuu.
Kuna walala njaa wengi Dsm kama ilivyo wachache wanaolala njaa mikoani.
Kuna mamilionea wengi Dsm kama ilivyo mikoani. "Maisha popote".
 
Mikoani hakuna huduma masaa 24hr, huwezi ukaamka saa nane usiku ukaenda kununua dawa, kinga, hata chakula, uko Arusha itabidi uende umbali mrefu kuvipata hivyo vitu na una weza husivipate na uko mikoani Huwezi kuamka saa 5 alfajiri ukapata soupo au chai kama unawai sehemu una njaa itabidi usubiri mpaka saa mbili maduka yafunguliwe ni tofauti na dar ukiitaji kitu kinapatikana kwa wepesi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Naona mnajidanganya. Uwe unataka kwamba kwenye mji Fulani, ilikika saa mbili maduka yote na migahawa yote na pharmacy zote vinafungwa. Ukisema mkoani nami nipo mkoani na Kuna migahawa ipo open masaa 24, Kuna pharmacy zinauza masaa 24 Mimi hapo sikuelewi.
 
Arusha mafala sana nina branch yangu ya biashara kule kila niiienda saa 2 mjini watu wameisha wamelala ubwege gan huo? Mkoa wa kifala sana
 
Back
Top Bottom