Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Bila shaka wewe utakuwa panya road, naona unataja silaha za jadi zinazotumiwa na panya road. Panya road wanatumia mapanga, mashoka, bisibisi, visu na marungu. Wewe unatuambia Dar kusuuza rungu ni rahisi, sio maandalizi ya panya road hayo kweli? Usiongee kijanja, kuna wajanja zaidi yako. Unaleta habari za kusuuza rungu kumbe unajiandaa na vitendo vya upanya road. Unaleta janja ya nyani kula mahindi mabichi? Ulikolalia sisi tumeamkia!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] umefungua codes
 
Wakazi wa dar na mikoa mingine yote ni matumaini yangu wote wazima. Mimi ni mdogo wenu kijana wa kiume nimesoma diploma ya procurement and logistic management na bachelor degree ya business management miaka kadhaa iliyopita, natafuta ajira ukiweza kunisaidia connection au kuniunganisha na mtu unaefikiri anaweza kunisaidia nitashukuru sana nipo tayari kufanya shughuli yoyote halali naombeni msaada wenu.
 
From my experience, dar inakufaa kama ukiwa na pesa tu.

Kama huna kwako huo mji niwa moto sana.

1: kama huna pesa hakuna mbususu za bure bure kama mikoan. Wanawake wengi wapiga mizinga.
2: vijana wa dar wanatumia kwa wingi vega, viksi kingo maarufu kama, chocolate n.k
3: kwa mtu asiye kua na pesa chakula chake always kitakua wali maharage, ugari dagaa tena wakwa mama ntilie.

4:Hali ya hewa ya dar kama huna pesa ni mateso lile ni tanuru la moto, inafikaga pahara hata feni zina sizi.

3: chakula kama samaki ni ndoto za abnwasi kama huna pesa.

Vijana wa dar wanapendelea kula, wali maharage, ugali mishikaki, chips mayai au chips kavu na soda.

Kwa dar huwezi pata maji ya kunywa yenye radha asilia kama ya kismani.

Na ukiwa umepanga huna kisima ndo basi labda usubiri mvua.

Gharama za maisha hasa nyumba za kuishi zipo juu, hivyo hupelekea vijana wengi kuishi maeneo ya pembeni kama temeke ndani ndani kule kama chamanzi, mbande, buza, tandika, mbagala. Tegeta ndani ndani kule, malamba. Sasa niulize kutoka huko kuja town kariakoo nenda rudi mtu anatumia sh ngap.

[emoji23][emoji23]
Hii Dar unayoiongelea itakuwa ya kwenye Bongo movie, eti kama umepanga hauna kisima ndio basi tena.
Me nipo Dar na skumbuki maji ya kisima nilitumia lini.

Sio kila mtu anamaisha hayo unayoyafkiria wewe hapa mjini.
 
ficha ujinga wako mkuu...arusha unajua kuna makao makuu ya ofisi ngap za kimataifa ukiacha tu hizo za kitaifa?

inaonekana ww civics ilikupitia pembeni
Mkuu UN, Ofisi za Balozi, ofisi za makampuni makubwa kama Barick zipo Arusha? Kaa ukijua kampuni yoyote ya kimataifa ikitaka kufungua ofisi Tanzania lazima ifike dar kwa East Afrika. Nairobi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Arusha inaizidi dar kwa baridi tu bruh hakuna kingine na hizo timbili mnazoringia huko mbugan watu wameanza kuziamishia huku mjini [emoji3]
nadhani vijana wa arusha hawajui kama hapa dar tuna zoo.

acha tuwasambazie taarifa.
IMG_20220928_190208.jpg
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Duh
 
ficha ujinga wako mkuu...arusha unajua kuna makao makuu ya ofisi ngap za kimataifa ukiacha tu hizo za kitaifa?

inaonekana ww civics ilikupitia pembeni
Wakurugenzi wote wa makampuni binafsi wanaishi dar na Matajiri wanaishi Mengi alikuwa anaishi dar, Bakhresa, Mo, Rostam. Na mwaziri wakuu wastaafu na wakuu wa majeshi wanaishi dar mikoani wanaenda na kurudi Dar.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mzee mbona wengine tumezaliwa Dar, tunesoma kuanzia vidudu moaka chuo kikuu Dar..mikoani kwenu huku tumezunguka zunguka sana lakini hauna cha kutuambia kuhusu Dar..tupo mikoani nyumba tunajenga Dar..yani investments zote ni Daslam...unatuweka kwenye kundi gani? Ukizaliwa Dar ukaja kutoka na kuishi mkoani ndo unaanza kuona umuhimu wake....
Ni kweli kijana aliyezaliwa dar akipangiwa kazi mkoani atafanya mchakato lazima atarudi dar tu na ukiona kijana wa dar anapenda mkoani ujue anapiga hela sana.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo wana JF wengi ni wale tunaoishi kwa mashemeji. Ni nadra sana madon kuwakuta wanabishana kwenye mada iliyo wazi kama hii.

Ukikubali TU kuwa Dar ina population kubwa na pia ndo mji mkuu kibiashara, na kuwa ndo mji ulio na historia ya kuwa mji mkuu wa shughuli za kiserikali then mjadara unakua umeisha.

Factor zote nilizo zibainisha hapo juu ndo fursa zenyewe. Mazingira complex ambayo yapo Dar ndo fursa zenyewe na ndio maisha . Kutokana na wingi wa stress ndo maana shughuri za starehe pia ni nyingi.

Ukweli ambao hauwezi kupingwa ni kuwa kwenye mazingira ya Dar ukiwa bado hujapata kazi msingi, na chanzo Cha mapato kinachoeleweka, uwe na uhakika maisha yako yatakua kama gerezani, ila ukianza kupata msingi mzuri ambao nyie mnaita connection then maisha yanaanza kuleta maana.

Mods funga Uzi huu.
Mkuu lakini ukiongelea connection kama msingi ya kutoboa hapo maanake ni popote tu sio lazima dar, kuna wenzangu nimesoma nao shule ya sasa hivi wanaishi mikoani wazazi wao wakawafanyia maujanja sasa hivi wanaishi maisha mazuri kuliko mimi ambae nipo hapa dar mwaka wa 6 sasa hiv tangu nimalize chuo sijawahi kupata ajira yoyote, natoka geto asubuhi chochote mfukoni sijui naenda wapi na kufanya nini ila natoka na imani tu
 
Makao makuu ya makampuni kubwa Tanzania yapo Dar.

Dar ina makao makuu ya benki zote Tanzania.

Balozi zote zipo Dar.

Dar ni njia panda ya Ulaya.

East Africa yote wanakuja kufunga mzigo Dar.

Ukijumlisha viwanja vya kula bata Dar, ni sawa na viwanja vya mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani combined.

Hao wabunge wenu wote wanaishi Dar.

Serikali imehamia Dodoma kimawazo ila mwili upo Dar.

That city vibe is everything. The rest is history.
Ni kweli wabunge wanaenda mikoani kuomba ubunge wakishaupata tu wanaamia dar wabunge wote wa mikoani wanaishi dar na maspika wabunge wastaafu wanaishi dar mikoani wanaenda likizo tu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom