Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

From my experience, dar inakufaa kama ukiwa na pesa tu.

Kama huna kwako huo mji niwa moto sana.

1: kama huna pesa hakuna mbususu za bure bure kama mikoan. Wanawake wengi wapiga mizinga.
2: vijana wa dar wanatumia kwa wingi vega, viksi kingo maarufu kama, chocolate n.k
3: kwa mtu asiye kua na pesa chakula chake always kitakua wali maharage, ugari dagaa tena wakwa mama ntilie.

4:Hali ya hewa ya dar kama huna pesa ni mateso lile ni tanuru la moto, inafikaga pahara hata feni zina sizi.

3: chakula kama samaki ni ndoto za abnwasi kama huna pesa.

Vijana wa dar wanapendelea kula, wali maharage, ugali mishikaki, chips mayai au chips kavu na soda.

Kwa dar huwezi pata maji ya kunywa yenye radha asilia kama ya kismani.

Na ukiwa umepanga huna kisima ndo basi labda usubiri mvua.

Gharama za maisha hasa nyumba za kuishi zipo juu, hivyo hupelekea vijana wengi kuishi maeneo ya pembeni kama temeke ndani ndani kule kama chamanzi, mbande, buza, tandika, mbagala. Tegeta ndani ndani kule, malamba. Sasa niulize kutoka huko kuja town kariakoo nenda rudi mtu anatumia sh ngap.

[emoji23][emoji23]
nimekuja mbio kusoma comment yako nikidhani vijana wenzio wa mikoani watakuwa wamekupa likes nyingi.nimepigwa na butwaa kwa hali niliyoikuta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Nimeipenda paragraph ya mwisho
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Mimi mwenyewe Niko Arusha lakini akili yangu Iko Dar es Salaam kibiashara #isaluteDaressalaam
 
Dar imekuwa overrated kinyama

Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Mimi life limenipiga hapo dar baada ya kumaliza chuo nimepigiga for 5 consecutive years, ajira hakuna unaambiwa usichague kazi ila izo kazi zenyewe ambazo haupaswi kuchagua hazipo ukijimix kwenye kijiwe cha kuosha magari na wana unatolewa nje, ukisema utafute hata deiwaka tu za saidia fundi napo bila bila kulala njaa ni utaratibu wa kawaida kabisa yaani ule msoto msoto kweli stress, hauna hata hela ya kula, masimango ya watu, kudhalaulika, nilikonda mwili uneisha kabisa hapo hapo unafikiria matarajio waliokua nayo ndugu kwako ukimaliza chuo yaani hata demu aje uchi wa mnyama mashine haidindi ikafika hatua nikawa mpaka naongea peke angu barabarani nikaona sasa naelekea kuwa kichaa ikabidi nije huku kijijini kupata utulivu wa akili kidogo wakati nafikiria my next move sasa hizi shuhuda zinazotelewa hapa ni kama vile ukiwa dar fursa nje nje ndo nabaki kushangaa dar hii hii niliyoikimbia au kuna dar mbili hapa tanzania
 
Makao makuu ya makampuni kubwa Tanzania yapo Dar.

Dar ina makao makuu ya benki zote Tanzania.

Balozi zote zipo Dar.

Dar ni njia panda ya Ulaya.

East Africa yote wanakuja kufunga mzigo Dar.

Ukijumlisha viwanja vya kula bata Dar, ni sawa na viwanja vya mikoa yote Tanzania Bara na Visiwani combined.

Hao wabunge wenu wote wanaishi Dar.

Serikali imehamia Dodoma kimawazo ila mwili upo Dar.

That city vibe is everything. The rest is history.
Ukitaka ona maajabu...
Hadi leo Dodoma ndani ya KM 10 kutoka Kati ya Mji, viwanja bei yake sawa na Chamazi...

Dar huko Bunju hapashikiki na ni zaidi ya KM 35 toka Mjini...

Train ya SGR ikimalizika na nauli iwe fare, watu wengi wataishi Dar na kazi Dodoma, imradi tu Train iwahi fika Dodoma

Kuna watu wataona bora kila Ijumaa waondoke warudi Jtatu asbuhi, na hii itafanya Dodoma ishuke kimapato kwani bata zitaliwa Dsm

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wakurugenzi wote wa makampuni binafsi wanaishi dar na Matajiri wanaishi Mengi alikuwa anaishi dar, Bakhresa, Mo, Rostam. Na mwaziri wakuu wastaafu na wakuu wa majeshi wanaishi dar mikoani wanaenda na kurudi Dar.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hata Marais wote wanajengews nyumba Dsm

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mimi life limenipiga hapo dar baada ya kumaliza chuo nimepigiga for 5 consecutive years, ajira hakuna unaambiwa usichague kazi ila izo kazi zenyewe ambazo haupaswi kuchagua hazipo ukijimix kwenye kijiwe cha kuosha magari na wana unatolewa nje, ukisema utafute hata deiwaka tu za saidia fundi napo bila bila kulala njaa ni utaratibu wa kawaida kabisa yaani ule msoto msoto kweli stress, hauna hata hela ya kula, masimango ya watu, kudhalaulika, nilikonda mwili uneisha kabisa hapo hapo unafikiria matarajio waliokua nayo ndugu kwako ukimaliza chuo yaani hata demu aje uchi wa mnyama mashine haidindi ikafika hatua nikawa mpaka naongea peke angu barabarani nikaona sasa naelekea kuwa kichaa ikabidi nije huku kijijini kupata utulivu wa akili kidogo wakati nafikiria my next move sasa hizi shuhuda zinazotelewa hapa ni kama vile ukiwa dar fursa nje nje ndo nabaki kushangaa dar hii hii niliyoikimbia au kuna dar mbili hapa tanzania
Miaka mitano ushawahi kujaribu hata biashara ndogo ndogo? Ni kama umefocus zaidi kwenye ajira.

Sijui ni hustle gani unapitia ila kwa jinsi ulivyoandika ni kama umepitia magumu mengi kwa hilo pole sana. Ila turudi nyuma miaka mitano ni mingi lazima ungekuwa ushapata njia ya wapi unaelekea hata kama ungekuwa umeishia darasa la nne. Ngoja nikae kimya yawezekana ningekuwa kwenye position yako ningalikuwa na hali mbaya zaidi
 
Dar imekuwa overrated kinyama

Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Ukitaka kujua umuhimu wa dar hamia lindi 😅😅😅!

Wewe unaishi mjini kila kitu unapata ukihitaji unapachukulia poa poa, tembea mikoani...ishi!

10 years in Moro,
7 years in Moshi,
3 Months in Mbeya,
1 Week in Lindi,
1 Week in Dodoma,
3 Days in Babati,
3 Days in Arusha,

Hakuna mahali kama DSM
 
Miaka mitano ushawahi kujaribu hata biashara ndogo ndogo? Ni kama umefocus zaidi kwenye ajira.

Sijui ni hustle gani unapitia ila kwa jinsi ulivyoandika ni kama umepitia magumu mengi kwa hilo pole sana. Ila turudi nyuma miaka mitano ni mingi lazima ungekuwa ushapata njia ya wapi unaelekea hata kama ungekuwa umeishia darasa la nne. Ngoja nikae kimya yawezekana ningekuwa kwenye position yako ningalikuwa na hali mbaya zaidi
Mkuu acha tu niliyopitia nayajua mwenyewe, kipindi nipo mdogo nilikua nasikia watu wanajiua kwa stress, ugumu wa maisha and the likes sikuwahi kuwaelewa mpaka yaliponikuta., i faced really hell yaani nikiangalia nyuma hata sielewi nilisurvival vipi mpaka kufikia leo ingawa bado sina direction yoyote angalao kidogo nina utulivu wa akili.. kuna situation ambazo ni ngumu kuzielewa kama hujazipitia
 
Vijana wenzako wa kahama na njombe uko wanawekeza kwenye kilimo wananunua masemi na kufungua maduka kariakooo we uko busy kuzurula mjini kama una akili dar ni sehemu ya kufanya biashara ila kuaccumulate capital ni ngumu.

Dar ukiwa na million ni ngumu kufanya uwekezaji utakaokutoa kimaisha .

Ila baadhi ya mikoa million inaweza kukuzalia hata million 10 ndani ya mwaka mmoja

Ila yote kwa yote inategemea na akili yako na uwezo wako wa kuziona fursa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu acha tu niliyopitia nayajua mwenyewe, kipindi nipo mdogo nilikua nasikia watu wanajiua kwa stress, ugumu wa maisha and the likes sikuwahi kuwaelewa mpaka yaliponikuta., i faced really hell yaani nikiangalia nyuma hata sielewi nilisurvival vipi mpaka kufikia leo ingawa bado sina direction yoyote angalao kidogo nina utulivu wa akili.. kuna situation ambazo ni ngumu kuzielewa kama hujazipitia
Kila la kheri mkuu. Ila jaribu kufocus kwenye vitu vingine pia mkuu you never know unaweza pata sehemu ukawa comfortable zaidi huku ukijipatia kipato chako. Ajira zenyewe Masimango kibao
 
Vijana wenzako wa kahama na njombe uko wanawekeza kwenye kilimo wananunua masemi na kufungua maduka kariakooo we uko busy kuzurula mjini kama una akili dar ni sehemu ya kufanya biashara ila kuaccumulate capital ni ngumu.

Dar ukiwa na million ni ngumu kufanya uwekezaji utakaokutoa kimaisha .

Ila baadhi ya mikoa million inaweza kukuzalia hata million 10 ndani ya mwaka mmoja

Ila yote kwa yote inategemea na akili yako na uwezo wako wa kuziona fursa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa Nini wameenda kufungua maduka kariakoo.? Si wangeyafungulia hukohuko njombe
 
Back
Top Bottom