Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Dar ni kutamu ikiwa unaamka asubuhi huku unajua sehemu ya kwenda kutafuta riziki. Mzunguko wa pesa ni mkubwa.

Gharama za maisha si kubwa kihivyo, labda kwenye makazi ndio gharama zipo juu ila kwenye suala la upatikanaji wa vyakula pako chini kuliko huko mikoani.

Dar ndio soko kubwa la mazao yote kutoka huko mikoani , usione ajabu ukala chungwa dar mwezi huu wa tisa wakati mikoani huko hakuna kabisa machungwa.

Gharama za ujenzi Dar ni kubwa kiasi ukizingatia standard ya nyumba zinazojengwa Dar ni za matofali ya cement compared na huko vijijini ambapo mtu anaweza kutumia matofali ya kuchoma ambayo ni cheap.


NB

DAR kama huna kazi ,ujiandae kupakatwa.
 
Pesa za hivyo ni za WIZI na nyingi zinatokana na upigaji kwenye vyanzo vya pesa za serikali a.k.a kulamba asali.
Enzi za jiwe watu wa aina hii walikimbia mji.
Mkuu mimi namaanisha connection za kupambana..ie. kwenye ujasiriamali, vipo vitu vingi hakijawa exploited ni kuamua tu ujikite kwenye jambo gani na ufanye improvement gani maisha yanasonga kabisa...😀😀😀
 
Dar ni kutamu ikiwa unaamka asubuhi huku unajua sehemu ya kwenda kutafuta riziki. Mzunguko wa pesa ni mkubwa.

Gharama za maisha si kubwa kihivyo, labda kwenye makazi ndio gharama zipo juu ila kwenye suala la upatikanaji wa vyakula pako chini kuliko huko mikoani.

Dar ndio soko kubwa la mazao yote kutoka huko mikoani , usione ajabu ukala chungwa dar mwezi huu wa tisa wakati mikoani huko hakuna kabisa machungwa.

Gharama za ujenzi Dar ni kubwa kiasi ukizingatia standard ya nyumba zinazojengwa Dar ni za matofali ya cement compared na huko vijijini ambapo mtu anaweza kutumia matofali ya kuchoma ambayo ni cheap.


NB

DAR kama huna kazi ,ujiandae kupakatwa.
Kupakatwa ni tabia ya mtu
 
From my experience, dar inakufaa kama ukiwa na pesa tu.

Kama huna kwako huo mji niwa moto sana.

1: kama huna pesa hakuna mbususu za bure bure kama mikoan. Wanawake wengi wapiga mizinga.
2: vijana wa dar wanatumia kwa wingi vega, viksi kingo maarufu kama, chocolate n.k
3: kwa mtu asiye kua na pesa chakula chake always kitakua wali maharage, ugari dagaa tena wakwa mama ntilie.

4:Hali ya hewa ya dar kama huna pesa ni mateso lile ni tanuru la moto, inafikaga pahara hata feni zina sizi.

3: chakula kama samaki ni ndoto za abnwasi kama huna pesa.

Vijana wa dar wanapendelea kula, wali maharage, ugali mishikaki, chips mayai au chips kavu na soda.

Kwa dar huwezi pata maji ya kunywa yenye radha asilia kama ya kismani.

Na ukiwa umepanga huna kisima ndo basi labda usubiri mvua.

Gharama za maisha hasa nyumba za kuishi zipo juu, hivyo hupelekea vijana wengi kuishi maeneo ya pembeni kama temeke ndani ndani kule kama chamanzi, mbande, buza, tandika, mbagala. Tegeta ndani ndani kule, malamba. Sasa niulize kutoka huko kuja town kariakoo nenda rudi mtu anatumia sh ngap.

[emoji23][emoji23]
 
From my experience, dar inakufaa kama ukiwa na pesa tu.

Kama huna kwako huo mji niwa moto sana.

1: kama huna pesa hakuna mbususu za bure bure kama mikoan. Wanawake wengi wapiga mizinga.
2: vijana wa dar wanatumia kwa wingi vega, viksi kingo maarufu kama, chocolate n.k
3: kwa mtu asiye kua na pesa chakula chake always kitakua wali maharage, ugari dagaa tena wakwa mama ntilie.

4:Hali ya hewa ya dar kama huna pesa ni mateso lile ni tanuru la moto, inafikaga pahara hata feni zina sizi.

3: chakula kama samaki ni ndoto za abnwasi kama huna pesa.

Vijana wa dar wanapendelea kula, wali maharage, ugali mishikaki, chips mayai au chips kavu na soda.

Kwa dar huwezi pata maji ya kunywa yenye radha asilia kama ya kismani.

Na ukiwa umepanga huna kisima ndo basi labda usubiri mvua.

Gharama za maisha hasa nyumba za kuishi zipo juu, hivyo hupelekea vijana wengi kuishi maeneo ya pembeni kama temeke ndani ndani kule kama chamanzi, mbande, buza, tandika, mbagala. Tegeta ndani ndani kule, malamba. Sasa niulize kutoka huko kuja town kariakoo nenda rudi mtu anatumia sh ngap.

[emoji23][emoji23]
Mkoani Kama huna pesa unaweza kupata huo wali maharage ....?


Kama huna pesa mkoani vipi kuna wanawake wanagawa k.uma bure ?

Samaki na nyama huko mkoani wanavigawa bure ?

Mbona Kama hoja zako hazina mashiko [emoji23][emoji23]

Kama huna pesa hata mkoan utapata tabu sana ,hata wali maharage utayala siku ya chrismass na mwaka mpya ,au msibani ...!!
 
Watu waliozaliwa dar na kusoma dar mpaka chuo hawapataki hata kupaona dar ila kina ngosha wakija kusoma dar na washamba wengine hawataki kurudi makwao

NB:ukiona mtu hataki kuondoka dar ujue huyo sio mzawa wa mkoa huo wazawa wengi hawapapendi dar baada ya kumaliza safari yao ya kimasomo hao ni wakuja ndo wanang'ang'ania jiji
 
Watu waliozaliwa dar na kusoma dar mpaka chuo hawapataki hata kupaona dar ila kina ngosha wakija kusoma dar na washamba wengine hawataki kurudi makwao

NB:ukiona mtu hataki kuondoka dar ujue huyo sio mzawa wa mkoa huo wazawa wengi hawapapendi dar baada ya kumaliza safari yao ya kimasomo hao ni wakuja ndo wanang'ang'ania jiji
Mkuu ulichoandika una uhakika nacho? Nina evidence za kutosha kuhusu waliozaliwa na kukulia Dar na kugoma kwenda mikoani
 
dar kuna harakati za panya road tu...

njoo arusha upewe harakati za pesa ndefu..kuna ishu za madini na utalii pesa yake sio kama hizo harakati za udadali hapo dasalamu
Sasa hayo madini ya huko mirerani ndo utaja muongopea nani? Yanakopatikana madini watu ni choka mbaya hatari...ushirikina wa kufa mtu..kwenye utalii vijana wa arusha mnajirahisisha kwa vibibi wa kizungu...ya hearrrdd...😀😀😀
 
Back
Top Bottom