Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Sema mitaa ya uswazi Dar ina watu wapumbavu sana wasiokuwa na elimu. Inawezekana Dar ndo ina watu wengi wasiojua kusoma na kuandika. Imagine mtu wa Dar anaenda kujenga nyumba bondeni halafu mafuriko yakija anaomba serikali imsaidie...!!! Mikoani ni ngumu sana kuona mtu anajenga bondeni
Kwa umaskini kama huu hapa wataachaje kuishi kwenye mabonde? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220929-194340.png
    Screenshot_20220929-194340.png
    123.6 KB · Views: 9
Siku utakayotoka nje ya DSM na kukutana na watu wa mikoani ndo utaja elewa..yani upate exposure ya mikoani halafu uwe na harakati za kutoka..utaja elewa...
Nimeshaenda nje ya Dar mikoa mitatu tofauti

Miwili kati ya hiyo ni bora kwangu kuliko Dar
 
Hata mi nashangaa,graduate wapo online 24hrs na kazi hawana na wazazi wao ni wbkawaida tu.
MKOMBOZI NI BETTING TU.
 
Mimi life limenipiga hapo dar baada ya kumaliza chuo nimepigiga for 5 consecutive years, ajira hakuna unaambiwa usichague kazi ila izo kazi zenyewe ambazo haupaswi kuchagua hazipo ukijimix kwenye kijiwe cha kuosha magari na wana unatolewa nje, ukisema utafute hata deiwaka tu za saidia fundi napo bila bila kulala njaa ni utaratibu wa kawaida kabisa yaani ule msoto msoto kweli stress, hauna hata hela ya kula, masimango ya watu, kudhalaulika, nilikonda mwili uneisha kabisa hapo hapo unafikiria matarajio waliokua nayo ndugu kwako ukimaliza chuo yaani hata demu aje uchi wa mnyama mashine haidindi ikafika hatua nikawa mpaka naongea peke angu barabarani nikaona sasa naelekea kuwa kichaa ikabidi nije huku kijijini kupata utulivu wa akili kidogo wakati nafikiria my next move sasa hizi shuhuda zinazotelewa hapa ni kama vile ukiwa dar fursa nje nje ndo nabaki kushangaa dar hii hii niliyoikimbia au kuna dar mbili hapa tanzania
Pole sana mkuu Natafuta Ajira
 
Nakuunga mkono mkuu mi mwenyewe niko Mwanza ila dar kwa mda nilio kaa huwezi ringanisha na mikoa mingine , DSM is next level like USA and Mexico
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Endelea kukaa kwa
 
Nimeshaenda nje ya Dar mikoa mitatu tofauti

Miwili kati ya hiyo ni bora kwangu kuliko Dar
Umeenda na kurudi au ulifanya maisha(kwa maana ya kukaa muda mrefu) i.e miezi si chini ya 6...? Ni mikoa gani hio...?
 
Ukiwa na connection sahihi popote unatoboa sio lazima dar tu
Mikoani watu wanakunja sana hawafunguki kama watu wa DSM...watu wa bara wengi ni wakunjaji...mfano unaweza anzisha duka sehemu wenyeji wakijua sio wa kwao raia hawaji...😀😀😀
 
Mikoani watu wanakunja sana hawafunguki kama watu wa DSM...watu wa bara wengi ni wakunjaji...mfano unaweza anzisha duka sehemu wenyeji wakijua sio wa kwao raia hawaji...😀😀😀
Me naona kila mtu na uzoefu wake tu me nimezaliwa dar nimekulia dar ila palinishinda nimekuja kujaribu mkoani sasa ukiniambia dar jiji la fursa inakua ngumu kukuelewa hata hapa wa dar wengi wanatoa ushuuda kwa kutumia mifano ya mawaziri na wafanyabiashara wakubwa ila tukiwakagua wao binafsi si ajabu kukuta wapo hapo dar wanabangaiza bangaiza tu
 
Mkuu uko sahihi kulingana na kazi ya ndoto yako kuifanikisha ukiwa jijin dar.

Mm naamini saana maisha ni popote kulinganana na connection zako.

Kwa maisha ya sasa tuna angalia jinsi gani unaweza kupata pesa haijalishi uko jijin au mikoani.

Sijaona kama kuna uepesi wa kupata mtaji kama huna mtaji wa kuishi dar, ugumu unakuja kwnye makazi,Dar sehemu inayoferisha watu kuishi na kuchukia ni sehemu ya makazi yana gharama kubwa, sasa je mtu anae taka kwenda kuanza maisha atamudu?

Ninge penda sana utoe fursa za kuwa shawishi vijana kwenda dar wakiwa na mitaji ya biashara.

Toa mfano wa biashara fulan then fanya analysis yake ilikusudi vijana waje kuinvest jijin na sio kuja kutaabika tu.

Mm sihami mikoan kwa sababu ya fulsa ya kilimo,kw mfano mm nnalima maharage.

Analysis yake kw mwaka huu.
Kukodi shamba ekari 50000
Kukatua na trekta- 50000
Mbegu kg 40 - 80000
Mbolea CAN -150000
Sumu ya wadudu 60000
Total cost =390000
Kipato cha ekari moja ni kati ya kg600-800
Kuhusu bei inategemea na sehemu ulipo lakin kwa sehemu yetu
Current price 2500 per kg.

Na huwa tuna lima kipindi cha.mvua pia na.kumwagilia kiangazi.

Ko ndo fursa mojawapo vijana mnaweza jikita kwa kilimo,now days is so crucial.
We young let's we look opportunities wherever.
Fulsa ni mpango mzima tupeane chanel za kutoboa maisha na sio za kusuza rungu .
 
Mkuu uko sahihi kulingana na kazi ya ndoto yako kuifanikisha ukiwa jijin dar.

Mm naamini saana maisha ni popote kulinganana na connection zako.

Kwa maisha ya sasa tuna angalia jinsi gani unaweza kupata pesa haijalishi uko jijin au mikoani.

Sijaona kama kuna uepesi wa kupata mtaji kama huna mtaji wa kuishi dar, ugumu unakuja kwnye makazi,Dar sehemu inayoferisha watu kuishi na kuchukia ni sehemu ya makazi yana gharama kubwa, sasa je mtu anae taka kwenda kuanza maisha atamudu?

Ninge penda sana utoe fursa za kuwa shawishi vijana kwenda dar wakiwa na mitaji ya biashara.

Toa mfano wa biashara fulan then fanya analysis yake ilikusudi vijana waje kuinvest jijin na sio kuja kutaabika tu.

Mm sihami mikoan kwa sababu ya fulsa ya kilimo,kw mfano mm nnalima maharage.

Analysis yake kw mwaka huu.
Kukodi shamba ekari 50000
Kukatua na trekta- 50000
Mbegu kg 40 - 80000
Mbolea CAN -150000
Sumu ya wadudu 60000
Total cost =390000
Kipato cha ekari moja ni kati ya kg600-800
Kuhusu bei inategemea na sehemu ulipo lakin kwa sehemu yetu
Current price 2500 per kg.

Na huwa tuna lima kipindi cha.mvua pia na.kumwagilia kiangazi.

Ko ndo fursa mojawapo vijana mnaweza jikita kwa kilimo,now days is so crucial.
We young let's we look opportunities wherever.
Fulsa ni mpango mzima tupeane chanel za kutoboa maisha na sio za kusuza rungu .
Nimependa mchango wako mkuu, me nimeona humu ndani watu wanabishana kwa show-offs tu, na bahati mbaya hatuwajui haya majigambo yote si ajabu wanaushi maisha ya shida kinoma ego yao ni kwa sababu tu wapo dar, hata mtoa mada mwenyewe hajaeleza yeye binafsi anajishughulisha na nini ambacho anafikiri kama angekua mkoani asingeweza kutoboa., kuna wengi wapo hapo dar na wamelost mfano mzuri mimi mwenyewe nimekimbia jiji maana nilipigika nikasema ya nini mie kung'ang'ania sehemu moja.. hapa watu wanasema dar mipango nimejaribu kuwaomba mikakati nilitegemea watanionesha njia labda kwa hali yako fanya hiki kwa namna hii ila badala yake nimeishia kuambiwa sio mjanja, lelema, sina connection inshort sijapata reply yoyote positive
 
Back
Top Bottom