Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Serikali imeacha familia Dar ndio maana wanarudi sana…

Mkoa gani huo watu wanaenda nyumbani saa 2? Niko mkoani lkn nyumbani naendaga hata saa 10 alfajiri [emoji1787]

Basi tuseme na sisi wengine tuna sababu zinazopelekea Dar tupaone kawaida..
mm binafsi, lile jua linavyowaka + mafoleni mimi kwa kweli Dar nakuja Kupenzika na kusalimia [emoji119]
Kumbe pamoja na mafoleni, jua kali na majasho lakini bado unarudi kupumzika huko baada ya kazi, hahahah
 
Kumbe pamoja na mafoleni, jua kali na majasho lakini bado unarudi kupumzika huko baada ya kazi, hahahah
Sijasema nakuja kupumzika
Niliandika nakuja kupenzika.
Nakuja kwa babe na kusalimia
 
Pesa za hivyo ni za WIZI na nyingi zinatokana na upigaji kwenye vyanzo vya pesa za serikali a.k.a kulamba asali.
Enzi za jiwe watu wa aina hii walikimbia mji.
Hata mimi nimeliona hilo. Wale janjajanja walioiongia mitini enzi za jiwe, sasa hivi naona wanarudi. Nawaona sana hapa Posta umachingani kwangu.
 
Mimi bado sija elewa lengo la huu Uzi Ni kwamba una shauri watanzania million 60 wote wahamie dar? Na hizo sehem nyingine tuwaachie wakenya waganda na wasudani walime wafuge alafu watuletee watanzania tulio jirundika dar mazao matunda nyama na maziwa? Ninacho kiona hapa Ni umaskini wa taifa letu kimiundo mbinu. tukiweza kua na treni za kisasa za umeme mtu akaweza kufanya kazi dar na kulala mbeya au mwanza ubishani wa kipumbavu Kama huu hauta kuwepo
 
Mimi bado sija elewa lengo la huu Uzi Ni kwamba una shauri watanzania million 60 wote wahamie dar? Na hizo sehem nyingine tuwaachie wakenya waganda na wasudani walime wafuge alafu watuletee watanzania tulio jirundika dar mazao matunda nyama na maziwa? Ninacho kiona hapa Ni umaskini wa taifa letu kimiundo mbinu. tukiweza kua na treni za kisasa za umeme mtu akaweza kufanya kazi dar na kulala mbeya au mwanza ubishani wa kipumbavu Kama huu hauta kuwepo
hakika pia vijana wengi wa kibongo kazi kusifia watu walio fanikiwa ukiwauliza swali dogo tu hivi huko dar wanakosema kuwa kuna wepesi wa kupata hela kuliko kijijini ukiwauliza wakupe njia ya kupatia mtaji wanaaza kujiuma uma
 
Mimi bado sija elewa lengo la huu Uzi Ni kwamba una shauri watanzania million 60 wote wahamie dar? Na hizo sehem nyingine tuwaachie wakenya waganda na wasudani walime wafuge alafu watuletee watanzania tulio jirundika dar mazao matunda nyama na maziwa? Ninacho kiona hapa Ni umaskini wa taifa letu kimiundo mbinu. tukiweza kua na treni za kisasa za umeme mtu akaweza kufanya kazi dar na kulala mbeya au mwanza ubishani wa kipumbavu Kama huu hauta kuwepo
Watu million 60 kuhamia Dar es salaam Hiyo haiwezekani lengo ni kuelezea uhalisia wa jiji la Dar es salaam kwa kulinganisha na sehemu nyingine za Tanzania. Licha ya changomoto zilizopo Dar es salaam still ndio sehemu pekee kwa Tanzania ambayo ni friendly kutimiza ndito
 
Nyie ndio wale wa kujisifia ooh me nimekuja dar long time hivyo me ni born town,mkiulizwa so well mnamiliki nini hapa mjini so far?mnaanza kulalamika eti we dogo una dharau...
 
Sio povu wanasema ukweli wao. Mbona Dar uswahili, ujinga na umasikini ni mkubwa. Watu wengi afya mbovu, lishe duni.
Mimi nimeishi na kukulia Dar kwa miaka yote na umri wangu huu. Dar ni sehemu nzuri sana ya kutafutia mtaji Kisha ukajificha mahali huko mkoani ukatengeneza mikakati then unarudi Dar kupiga hela ndefu ukitumia connection ya Dar to mkoa, mkoa to Dar.
 
Never compare daslam with other cities dsm ndo Tanzania yenyewe we mpaka ikulu hadi leo imeshindikana kuhamishwa unachukulia poa!? Nimefanya research watu wengi wanaokuja dsm huwa ni ngumu kurudi mikoa waliotokea.
 
Never compare daslam with other cities dsm ndo Tanzania yenyewe we mpaka ikulu hadi leo imeshindikana kuhamishwa unachukulia poa!? Nimefanya research watu wengi wanaokuja dsm huwa ni ngumu kurudi mikoa waliotokea.
Mimi nimeenda tena ilikuwa kazi ya mwezi tu ila nilishindwa kuvumilia nilikuwa naomba siku zikimbie nirudi za Mwanza the rock city
 
Mtazamo wangu

Wengi walioshindwa maisha Dsm wanaipondea Dsm.

Hujalazimishwa ishi Dsm ukiona hapakufai rudi kwenu.

Mara ooh watu wa Dsm masikini, hivi utalinganisha Umasikini au kipato cha Dsm na mikoani?

Angalia hata udumavu wa akili
 
Mimi nimeenda tena ilikuwa kazi ya mwezi tu ila nilishindwa kuvumilia nilikuwa naomba siku zikimbie nirudi za Mwanza the rock city

Labda huja-match au hujapata channel tu dar kiufupi mimi nimeshindwa kuishi sehemu tofauti na dar sababu biashara zangu nyingi na channel ni dar wafanya biashara watanielewa kwenye hili biashara zenyewe nazungumzia vifaa vya kielektroniki,nguo, na vinginevyo dar ina mzunfuko wa biashara sana japo maisha ndo yapo juu kila kitu cha kununua.
 
harakati gani zitaje...

hakuna biashara yoyote inayofanyika dar na arusha isiwepo...ndo mana nimesema labda harakati zinazohusu bahari
Kichwa kigum kama jiwe...endelea na ubishi Ila dar ni eneo zuri zaidi kwa ma hustler
 
Ukitaka ona maajabu...
Hadi leo Dodoma ndani ya KM 10 kutoka Kati ya Mji, viwanja bei yake sawa na Chamazi...

Dar huko Bunju hapashikiki na ni zaidi ya KM 35 toka Mjini...

Train ya SGR ikimalizika na nauli iwe fare, watu wengi wataishi Dar na kazi Dodoma, imradi tu Train iwahi fika Dodoma

Kuna watu wataona bora kila Ijumaa waondoke warudi Jtatu asbuhi, na hii itafanya Dodoma ishuke kimapato kwani bata zitaliwa Dsm

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Dodoma is shining now sisi hatushindani na Dar alietangulia ametangulia tu but slowly we are coming . Hopeful kwa uwekezaji unaondelea few years later this city will be among of the best city in East Africa
 
Watu million 60 kuhamia Dar es salaam Hiyo haiwezekani lengo ni kuelezea uhalisia wa jiji la Dar es salaam kwa kulinganisha na sehemu nyingine za Tanzania. Licha ya changomoto zilizopo Dar es salaam still ndio sehemu pekee kwa Tanzania ambayo ni friendly kutimiza ndito
Vp Dodoma?
 
Unaelewa maana ya harakati? Wapi nimetaja fly over au bahari...jikite kwenye point mkuu...sehemu rahisi kutoboa ukiwa na connection sahihi ni DSM...na DSM ndo Tanzania mzee...😀😀😀😀
Arusha sio mkoani mzee. Wilaya ya kwanza kupata maendeleo ya kisasa kabla ata ya ilala na kinondoni. Observe.
 
Dodoma is shining now sisi hatushindani na Dar alietangulia ametangulia tu but slowly we are coming . Hopeful kwa uwekezaji unaondelea few years later this city will be among of the best city in East Africa
Serikali ikishamaliza ujenzi wake nini tena kitatokea?

Maana hadi leo kiwanja Bunju, Kibaha ni bei kubwa kuliko Dodoma

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom