KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Sijui ni kwanini mtu mweusi anajidharau sana mbele ya mzungu.......wanachoshindwa kujua ni kuwa hata hao wazungu wana mila na tamaduni zao.......kwa kweli uchawi waliotumia wazungu vichwani mwetu ni wa hali ya juu sana......