Hivi Waafrika hatuna akili?

Bila maji umeme itafanya Kazi?
 
Upo sahibi kabisa...waafrica ni wajinga sana. Tuna jamba jamba tuu humu duniani.
Mara mia ningezaliwa mbwa koko marekani lakini sio mwafrica
 
Kwahiyo tunaishi kwa historia?
 
Upo sahibi kabisa...waafrica ni wajinga sana. Tuna jamba jamba tuu humu duniani.
Mara mia ningezaliwa mbwa koko marekani lakini sio mwafrica
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤣
 
Upo sahibi kabisa...waafrica ni wajinga sana. Tuna jamba jamba tuu humu duniani.
Mara mia ningezaliwa mbwa koko marekani lakini sio mwafrica
Imagine lijitu kama hili limatamani kuwa mbwa sasa ataisadia vipi jamii yake zaidi ya kubweka tu.
 
Kwani uvumbuzi unahisiana vipi na viongozi.

We ukija na research yako nzuri na yenye akili hautosapotiwa?
 
Aaah wapi hujanishawishi.
 
Africa had..... Tulikuwa ...... Zilikuwepo...... Kulikuwa
 
Hivi unadhani ukija na idea ya kueleweka hautosapotiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…