Hilo halituhisu,Hilo ni lako pambana nalo mkuuHabari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Teknolojia ya kufua chuma iligunduliwa na nani?Habari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Kwamba akili ya mwafrika ni sawa na akili ya mchina?Nadhani shida inayoisumbua Afrika ni viongozi wake. China wanaviongozi wenye msimamo sana kama Xi Jinping na Mao the dong ila viongozi wa afrika ni wapigaji na wasiokuwa na msimamo. Ndo maana wachina wameendelea kuliko sisi.
Ni ujinga kudhani kuwa mtu anaweza kurogwa!Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi
Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana
Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Tuna magenius kweli!!!Elimu yetu Soo rafiki,kwa mstakabari wa tekinolojia.
Ila akili tunazo sana tena maginius.
Sema mfumo wa elimu,tuna mfumo ambao unafundisha jinsi ya kitumia na kurekebisha na sio ugunduzi.
Elimu mzigo,kianzia chekechea mtoto anakiwa hajui anatakiwa asomee nn hasa.
Hata papuchi za kizazi hiki Nazo ziko hovyo na mboo ziko bila uwajibikaji unaotakiwa,kwa kifupi tuna hali mbaya sana watu waeusi,inakuwaje papuchi itoe harufu ya panya aliekufa,Mimi sielewi.Sio kwamba hatuna akili ya GUNDUZI tuu!!??
Ndio, basi sawa tuseme wachina wanajua kuliko sisi hilo lisiwe sababu ya sisi kuwa nyuma kiteknolojia.Kwamba akili ya mwafrika ni sawa na akili ya mchina?
C'mon dude.😃😃😃😁
Hii ya kurogwa ipo Mkuu.Ni ujinga kudhani kuwa mtu anaweza kurogwa!
Watu kama nyie mnafanya wengine tuonekane hatuna akili kwenye mada za maana mnaleta masuala ya ngono. Sasa papuchi inahusikaje hapa?Hata papuchi za kizazi hiki Nazo ziko hovyo na mboo ziko bila uwajibikaji unaotakiwa,kwa kifupi tuna hali mbaya sana watu waeusi,inakuwaje papuchi itoe harufu ya panya aliekufa,Mimi sielewi.
Oya jamaa🤣🤣🤣🤣Hata papuchi za kizazi hiki Nazo ziko hovyo na mboo ziko bila uwajibikaji unaotakiwa,kwa kifupi tuna hali mbaya sana watu waeusi,inakuwaje papuchi itoe harufu ya panya aliekufa,Mimi sielewi.
Ana uhuru wa kukomenti Mkuu.Watu kama nyie mnafanya wengine tuonekane hatuna akili kwenye mada za maana mnaleta masuala ya ngono. Sasa papuchi inahusikaje hapa?
Haya bwana, weekend njema.Ana uhuru wa kukomenti Mkuu.
Wacha tufurahi tukiwa hai. Hata hivyo leo ni WEEKEND imeanza😃😃😃
Sasa kufua chuma utalinganisha na gunduzi za simu, meli, ndege etc.Teknolojia ya kufua chuma iligunduliwa na nani?
Hiii Weekend ishapinda kwangu.Haya bwana, weekend njema.
🙁Unaweza kuwa nazo nyingi tu ila viongozi wako wakiwa hawana akili basi hizo zako utasota nazo mpaka kifo
Mkuu umenipa tiba nimechela sana.Watu kama nyie mnafanya wengine tuonekane hatuna akili kwenye mada za maana mnaleta masuala ya ngono. Sasa papuchi inahusikaje hapa?
Hii sijawahi kuiamini.Waafrica si ndiyo chanzo cha sehemu kubwa ya maarifa ya duniani leo, yaani hesabu, sayansi na falsafa?
Tuache vizingizio Mkuu.Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi
Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana
Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
We Tula relax.AKILIA HAUNA WEWE NA BABA YAKO
Duuuh!!!Nilisoma hiyo stori zamani sana hivyo sikumbuki jina. Na siku.buki alifanyaje kwenyekusoma na kuandika Ninachokumbuka kwenye ugunduzi wamuda alitumia Kopo lenye tundu ndogo na maji. Kisha kudondosha maji matone ambayo jamaa alifanya utafiti wa mdondoko wa matone.
Baada yahapo akatengeneza pipa kwa mfumo wa lile kopo ili kudondosha matone ya maji hayo na kugawa kwa
sekunde,
dakika
Saa
Siku
Wiki
Mwezi na hatimae kupatikana mwaka