Hivi Waafrika hatuna akili?

Hivi Waafrika hatuna akili?

Wanatuambia tulikuwa nyani Sasa uliona wapi nyani anaakili 😃
 
Kwani uvumbuzi unahisiana vipi na viongozi.

We ukija na research yako nzuri na yenye akili hautosapotiwa?
Sasa hivi kila kitu kipo Online bei ya Bundle gharama (hence knowledge haifikiki), Kutokana na matozo na kumbana huyu raia na ugumu wa maisha hata muda wa kuwaza mambo mengine zaidi ya kupata mkate wake wa kila siku ataupata wapi ? Hakuna institution za kutosha ambazo zinatoa funds za research and development..., Ingawa dunia ya sasa unaweza ukawa mzee wa ku copy na kupaste..., sasa hata kama hio njia ya kuweza kupata hizo materials (data) bado zinakuwa ngumu unategemea nini ?

Nimekupa mfano mdogo kwa kina Diamond na wasanii wengine kuonyesha njia ndio kunakofanya madogo wengi kitaa kuchukua karatasi na kujaribu kupanga mistari..., Sasa kama tunajikita kwenye kuamini mambo ya kurogana na kila kinachotokea ni mipango ya Mungu badala ya kuuliza why.., sababu hao viongozi ndio wanao-instill hizo ideas kwa young minds usishangae kama tutaendelea kubweteka.... (Mfano sasa hivi watu wanaona kutoboa lazima uende kwenye Siasa) Je unadhani taifa la wapiga talalila linaweza kufanya nini...
 
Mwafrika ni android 01.
Si unajua simu kila zikija android inapanda hairudi nyuma. Na kadri android inavyopanda ubora nao hupanda
 
Africa had..... Tulikuwa ...... Zilikuwepo...... Kulikuwa
Kwahio unadhani dunia ndio imekwisha leo ? Unaweza kusema hivyo hivyo kwa Roman Empire, Great Britain, au hata Ottoman Empire..., Na bila kujua tulikuwaje huwezi kufahamu kwanini leo tupo hapa..., Sababu kama tuliweza jana kwanini tusiweze keshokutwa ?

Ndio hapo majibu nimekuwa nikiyatoa tangia nianze kujibu hizi posts..., Pia kumbuka mkitoka kwenye reli ni rahisi sana kuliko kujaribu kurudi..., Sehemu kama Baghdad na their Hanging Gardens baada ya kupotoka na kuona Elimu za kidunia hazifai mpaka leo hawajarudi kwenye their heyday..., ila ndio hivyo Algebra zilianzia huko na wakati hao unaowaona wana akili wanatumia namba za Kirumi wenzao wahindi waligundua hizi namba za leo ambazo zinaitwa za Kiarabu....
 
Hivi unadhani ukija na idea ya kueleweka hautosapotiwa?
Kwanza kabisa Ideas are one thing but implementation is the Key..., wote hawa kina Facebook, Microsoft na OS yao n.k. sio wao waliokuja na Idea bali wao ndio waliifikisha mainstream..., Na dunia ya leo wala huitaji kuwa mbunifu bali mtendaji / mfanikishaji kazi ngumu walishafanya the Giants of the Past...
 
N
Sasa kufua chuma utalinganisha na gunduzi za simu, meli, ndege etc.

Man kuwa serious kidogo.
Na wewe Acha unaa, gunduzi ni gunduzi. Hata aliyegundua sindano naye lazima apewe credit.
Hebu soma hapo uone gunduzi ndogo Ambazo zimesaidia kuboresha maisha yako.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxx

"Here are some of the most fascinating discovered technologies that have shaped our world:
* The Printing Press: Invented by Johannes Gutenberg in the 15th century, the printing press revolutionized the spread of knowledge and ideas. It made books more accessible and affordable, leading to the Renaissance and the Enlightenment.
* The Steam Engine: Developed by James Watt in the 18th century, the steam engine powered the Industrial Revolution. It transformed transportation, manufacturing, and energy production, ushering in a new era of technological advancement.
* The Light Bulb: Invented by Thomas Edison in the late 19th century, the light bulb brought light to the night, revolutionizing daily life and work. It also paved the way for the development of electricity and electrical appliances.
* The Internet: Developed in the 1960s as a military communications network, the internet has become an indispensable tool for communication, information access, and commerce. It has connected people and businesses around the world, transforming how we live, work, and interact.
* Artificial Intelligence: A rapidly evolving field, AI is already transforming many aspects of our lives, from the way we search for information to the way we diagnose diseases. It has the potential to revolutionize industries and solve some of the world's most pressing challenges.
These are just a few examples of the many fascinating technologies that have been discovered throughout history. Each of these discoveries has had a profound impact on our world, and they continue to shape our lives in countless ways.

It is important to note that the development of these technologies is often a collaborative effort, with many individuals and teams contributing to their creation. These discoveries are a testament to the power of human ingenuity and the potential for technological advancement to improve our lives".
Source: The Top Female Cat Names Inspired by Inventors' Inventions
 
Ni ujinga kudhani kuwa mtu anaweza kurogwa!
Hujawahi kusikia story ya mwanafunzi ambae alikua kwenye chumba cha mtihani mara ghafla akawa haoni maandishi kwenye karatasi au ubaoni pia kuna mwingine ulipofika mtihani wa Taifa aliumwa ghafla😀😀😀 mkuu haya mambo yapo kwetu sisi waafrica
 
Kwahiyo kukosa chakula ndo imetufanya tusiwe na akili ya kugundua chochote?
Nadhani hili kuiweka sawa hii hapo ni sawa na angesema, Africa kitendo tu Cha kusumbuliwa na njaa miaka nenda miaka Rudi ilihali bara letu limebarikiwa kuwa na ardhi nzuri yenye rutuba inaonesha udumavu wetu wa kifikra kiasi kwamba ni ngumu sana kufanya innovation yoyote ya maana.

Na of course huu ndio ukweli ukiona mtu Bado anaangaishwa na njaa, basi ujue mtu huyo ana udhaifu mkubwa sana kiakili na kifikra.

Hapa duniani kuiondoa njaa ni rahisi sana kuliko kutengeneza rocket au kugundua dawa ya cancer.

Waafrika tumeshindwa hata kubrainstorm hili tutengeneze nyenzo za kilimo za gharama nafuu ambazo zingeweza kutusaidia kuzalisha chakula Cha kumtosheleza kila mtu na kingine tukauza nje ya bara letu huko...na badala yake tumebaki kuomba omba tu miaka nenda miaka Rudi na Wala hatuna aibu, ovyo sana.

Huwezi kugundua hata dawa ya mbu ikiwa wewe umeshindwa hata kutatua changamoto ya njaa.
 
Sasa kufua chuma utalinganisha na gunduzi za simu, meli, ndege etc.

Man kuwa serious kidogo.
Meli na ndege zinaundwa kwa unga wa ngano sio? Hawatumii chuma?

Meli ya kwanza iliundwa na mtu gani? Kama si Mwafrika walivuka vipi kwenda mabara mengine ukizingatia binadamu wote wametokea Afrika? (Fact).
 
Hujawahi kusikia story ya mwanafunzi ambae alikua kwenye chumba cha mtihani mara ghafla akawa haoni maandishi kwenye karatasi au ubaoni pia kuna mwingine ulipofika mtihani wa Taifa aliumwa ghafla😀😀😀 mkuu haya mambo yapo kwetu sisi waafrica
Shida uchawi wetu tunautumia kukomoana ila wenzetu wanatumia uchawi wao kuishi vizuri mfano illuminati na freemasons.
 
Hujawahi kusikia story ya mwanafunzi ambae alikua kwenye chumba cha mtihani mara ghafla akawa haoni maandishi kwenye karatasi au ubaoni pia kuna mwingine ulipofika mtihani wa Taifa aliumwa ghafla😀😀😀 mkuu haya mambo yapo kwetu sisi waafrica
Hizo hadithi ni upuuzi tu.
 
Meli na ndege zinaundwa kwa unga wa ngano sio? Hawatumii chuma?

Meli ya kwanza iliundwa na mtu gani? Kama si Mwafrika walivuka vipi kwenda mabara mengine ukizingatia binadamu wote wametokea Afrika? (Fact).
Sawa tukubali walikuwa na akili.

Lakini cha kujiuliza mbona Hatufanyi makubwa tena? Au hiyo generation ya wenye akili ilipotea.!!?
 
Nadhani hili kuiweka sawa hii hapo ni sawa na angesema, Africa kitendo tu Cha kusumbuliwa na njaa miaka nenda miaka Rudi ilihali bara letu limebarikiwa kuwa na ardhi nzuri yenye rutuba inaonesha udumavu wetu wa kifikra kiasi kwamba ni ngumu sana kufanya innovation yoyote ya maana.

Na of course huu ndio ukweli ukiona mtu Bado anaangaishwa na njaa, basi ujue mtu huyo ana udhaifu mkubwa sana kiakili na kifikra.

Hapa duniani kuiondoa njaa ni rahisi sana kuliko kutengeneza rocket au kugundua dawa ya cancer.

Waafrika tumeshindwa hata kubrainstorm hili tutengeneze nyenzo za kilimo za gharama nafuu ambazo zingeweza kutusaidia kuzalisha chakula Cha kumtosheleza kila mtu na kingine tukauza nje ya bara letu huko...na badala yake tumebaki kuomba omba tu miaka nenda miaka Rudi na Wala hatuna aibu, ovyo sana.

Huwezi kugundua hata dawa ya mbu ikiwa wewe umeshindwa hata kutatua changamoto ya njaa.
I gat the point
 
N

Na wewe Acha unaa, gunduzi ni gunduzi. Hata aliyegundua sindano naye lazima apewe credit.
Hebu soma hapo uone gunduzi ndogo Ambazo zimesaidia kuboresha maisha yako.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxx

"Here are some of the most fascinating discovered technologies that have shaped our world:
* The Printing Press: Invented by Johannes Gutenberg in the 15th century, the printing press revolutionized the spread of knowledge and ideas. It made books more accessible and affordable, leading to the Renaissance and the Enlightenment.
* The Steam Engine: Developed by James Watt in the 18th century, the steam engine powered the Industrial Revolution. It transformed transportation, manufacturing, and energy production, ushering in a new era of technological advancement.
* The Light Bulb: Invented by Thomas Edison in the late 19th century, the light bulb brought light to the night, revolutionizing daily life and work. It also paved the way for the development of electricity and electrical appliances.
* The Internet: Developed in the 1960s as a military communications network, the internet has become an indispensable tool for communication, information access, and commerce. It has connected people and businesses around the world, transforming how we live, work, and interact.
* Artificial Intelligence: A rapidly evolving field, AI is already transforming many aspects of our lives, from the way we search for information to the way we diagnose diseases. It has the potential to revolutionize industries and solve some of the world's most pressing challenges.
These are just a few examples of the many fascinating technologies that have been discovered throughout history. Each of these discoveries has had a profound impact on our world, and they continue to shape our lives in countless ways.

It is important to note that the development of these technologies is often a collaborative effort, with many individuals and teams contributing to their creation. These discoveries are a testament to the power of human ingenuity and the potential for technological advancement to improve our lives".
Source: The Top Female Cat Names Inspired by Inventors' Inventions
Okay genius.
 
Back
Top Bottom