Hivi Waafrika hatuna akili?

Hivi Waafrika hatuna akili?

Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Hilo halituhisu,Hilo ni lako pambana nalo mkuu
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Teknolojia ya kufua chuma iligunduliwa na nani?
 
Nadhani shida inayoisumbua Afrika ni viongozi wake. China wanaviongozi wenye msimamo sana kama Xi Jinping na Mao the dong ila viongozi wa afrika ni wapigaji na wasiokuwa na msimamo. Ndo maana wachina wameendelea kuliko sisi.
Kwamba akili ya mwafrika ni sawa na akili ya mchina?
C'mon dude.😃😃😃😁
 
Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi

Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana

Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Ni ujinga kudhani kuwa mtu anaweza kurogwa!
 
Elimu yetu Soo rafiki,kwa mstakabari wa tekinolojia.
Ila akili tunazo sana tena maginius.
Sema mfumo wa elimu,tuna mfumo ambao unafundisha jinsi ya kitumia na kurekebisha na sio ugunduzi.

Elimu mzigo,kianzia chekechea mtoto anakiwa hajui anatakiwa asomee nn hasa.
Tuna magenius kweli!!!

Wako wapi?
 
Ni ujinga kudhani kuwa mtu anaweza kurogwa!
Hii ya kurogwa ipo Mkuu.
Kuna ndugu yangu aliwahi kutupiwa kifafa Ila baada ya mtaalamu kufanya yake mambo yalienda sawa.

Mpaka sasa bado nawaza Ni technique gani ilitumika. (Around 2010).🤔
 
Hata papuchi za kizazi hiki Nazo ziko hovyo na mboo ziko bila uwajibikaji unaotakiwa,kwa kifupi tuna hali mbaya sana watu waeusi,inakuwaje papuchi itoe harufu ya panya aliekufa,Mimi sielewi.
Watu kama nyie mnafanya wengine tuonekane hatuna akili kwenye mada za maana mnaleta masuala ya ngono. Sasa papuchi inahusikaje hapa?
 
Hata papuchi za kizazi hiki Nazo ziko hovyo na mboo ziko bila uwajibikaji unaotakiwa,kwa kifupi tuna hali mbaya sana watu waeusi,inakuwaje papuchi itoe harufu ya panya aliekufa,Mimi sielewi.
Oya jamaa🤣🤣🤣🤣
 
Watu kama nyie mnafanya wengine tuonekane hatuna akili kwenye mada za maana mnaleta masuala ya ngono. Sasa papuchi inahusikaje hapa?
Ana uhuru wa kukomenti Mkuu.

Wacha tufurahi tukiwa hai. Hata hivyo leo ni WEEKEND imeanza😃😃😃
 
Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi

Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana

Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Tuache vizingizio Mkuu.
 
Nilisoma hiyo stori zamani sana hivyo sikumbuki jina. Na siku.buki alifanyaje kwenyekusoma na kuandika Ninachokumbuka kwenye ugunduzi wamuda alitumia Kopo lenye tundu ndogo na maji. Kisha kudondosha maji matone ambayo jamaa alifanya utafiti wa mdondoko wa matone.
Baada yahapo akatengeneza pipa kwa mfumo wa lile kopo ili kudondosha matone ya maji hayo na kugawa kwa
sekunde,
dakika
Saa
Siku
Wiki
Mwezi na hatimae kupatikana mwaka
Duuuh!!!
 
Back
Top Bottom