😂🤣😂🤣👇🏿👇🏿👇🏿Habari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Ukitaka kuondoa ujinga kitu cha kwanzaHabari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Chuma kilikuwepo, mlikua mnakitumia kutengenezea mapanga na mikukiWewe sasa ndio unaonekana taahira, kwahiyo wakati wazungu wanarudi Afrika kutawala , hapakuwa na Chuma? Kwamba walikuta tunatumia zana za mawe?
😂😂😂Ukitaka kuondoa ujinga kitu cha kwanza
1. Futa kazi wote wanaosimamia elimu nchi hii.
2. Andaa kamati ya kubaini watu wenye akili ( sio wenye vyeti) bali watu waliojaribu kuleta tofauti kwenye ubunifu mfano Kipanya na wengine wengi,kisha wape jukumu la kufikiri na kutoa mapendekezo yatakayofaa kwenye elimu.
Kamati inaapishwa,ikichakachua ikatuletea maprofesa wa hovyo waliopo,wanakula shaba wote.
3. Unafuta kabisa mfumo wa elimu uliopo.Mtu anaanza kujifunza kutengeneza simu,magari na vitu mbali mbali akiwa darasa la tatu.Anaanza kujifunza udaktari tangu darasa la tatu.Sio unampotezea muda mtoto anajifunza sungura mjanja au vishazi na ngeli!Upuuzi mtupu!
4. Mtu akitamba ana hela atuoneshe kitu alichokibuni cha uzalishaji chenye faida kwa jamii.Kama hakuna anafilisiwa na kufungwa jela ya kilimo na kazi ngumu.Hakuna pesa ya ujanja ujanja.Ama
5. Watu wote wanaodanga watulie kama hawapo wakionekana wanatamba mtandaoni sijui wanataka kuwa na wanaume wenye gari namba E tena gari ya maana,wakabidhiwe ekari kumi kila mmoja walime na kuzitunza ama wale shaba wote hatutaki watu wanafanya wanaume wanafanya lolote kupata pesa ikiwepo kutoa kafara.
6. Machawa wote peleka jela ya kilimo.Lazima kazi iheshimiwe sio mtu anapata pesa kirahisi rahisi tu.
Hiko chuma tulikuwa tunaletewa na malaika sio? Au kulikuwa na wahunzi?Chuma kilikuwepo, mlikua mnakitumia kutengenezea mapanga na mikuki
uzuri hao sio waafrica (ni wazungu wenye asili ya africa)....inshort black born in Africa almost wote ni wasindikizaji....hatuna akiliWapo watu weusi walikulia nchi za ughaibuni na wamefanya gunduzi tunazozitumia leo. Mfano Lewis Latimer alibuni bulb zinazotumia filament na hata three light traffic light imegunduliwa na mtu mweusi bila kumsahau Ben Carson neurologist aliyeishangaza dunia.
WalikuwepoHiko chuma tulikuwa tunaletewa na malaika sio? Au kulikuwa na wahunzi?
Kwahiyi malaika ndio waligundua uhunzi wa vyuma kisha wakawashushia huo ugunduzi waAfrika , sio? Maana tunaambiwa hawana akili..Walikuwepo
Hao watu ni waafrika waliozaliwa ughaibuni, mazingira waliyokulia ndo yamefanya wafanye makubwa pengine hata wewe ungezaliwa ughaibuni ungefanya uvumbuzi wako. Akili tunazo ila mazingira yaliyotizunguka ndo yanaturudisha nyuma mfumo wa elimu pia unachangia.uzuri hao sio waafrica (ni wazungu wenye asili ya africa)....inshort black born in Africa almost wote ni wasindikizaji....hatuna akili
Sasa ndugu yangu unataka kuangalia kigezo cha akili kwa mtu kuyeyusha mawe na kupata chuma?Kwahiyi malaika ndio waligundua uhunzi wa vyuma kisha wakawashushia huo ugunduzi waAfrika , sio? Maana tunaambiwa hawana akili..
Chuma ilikuwa ni mwanzo wa mapinduzi ya kilimo na kijeshi, kwa wakati hio ilkiws ni very big deal. Mtu asiye na akili anaginfuaje iton smelting?Sasa ndugu yangu unataka kuangalia kigezo cha akili kwa mtu kuyeyusha mawe na kupata chuma?
Hicho chuma walivyokipata walifanyia nini? Walitumia kama misumari kuezekea nyumba za tembe?
Sisi Africans ni artists hayo mengine mnatuonea. ondoka na neno artists.Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Haya sasa, baada ya kupata hicho chuma kuna maajabu gani mengine tumefanya mpaka leo?Chuma ilikuwa ni mwanzo wa mapinduzi ya kilimo na kijeshi, kwa wakati hio ilkiws ni very big deal. Mtu asiye na akili anaginfuaje iton smelting?
Si ndo hapo sasaWewe Bado unasoma agriculture of cocoa in Ghana, unategemea uwe na akili ?
Tumejenga maPyramid, au sio maajabu hayo? Na usidanganywe na movie ukadhani mapharaoh walikuwa wazungu…, walikuwa weusi wenye asili inayofanana na watu wa Sudan, hakuna mzungu wala mwarabu anaitwa Tutankamun..Haya sasa, baada ya kupata hicho chuma kuna maajabu gani mengine tumefanya mpaka leo?
Wazungu walivyokuwa wagunduzi walisapotiwa na nani??Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi
Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana
Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Inafikirisha sanaTofauti ya mzungu na mtu mweusi ni mindset zao. Mtu mweusi akishafanya kazi akapata hela ya kula na ya kujisitiri basi ameshamaliza. Mzungu anajiuliza maswali kama vile kwanini apple limedondoka, radi inatoka wapi? na maswali mengine ambayo mtu mweusi hana muda nayo. Ndo maana wazungu wanafanya gunduzi mbalimbali ambayo mwafrika hana muda nayo.
Swali dogo nitajie nchi ya Afrika ambayo inafanya research za masuala ya anga? lakini angalia wenzetu kila siku wanaumiza vichwa kwaajili ya anga.