Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kwa elimu mkuu. Duh mpaka Ramadhani Dau, kweli wewe unafahamu mengi!Inategemea na kiwango alichofikia cha Uchezaji mpira, kwa Ngazi ya Timu ya Taifa huyo Tenga na Ally Mayai, Lakini Hata Dr Ramadhan DAU aliwahi kucheza yanga kids kadhalika Prof Mshindo Msola
Unafahamu kwamba Tunawachezaji ambao ni Graduates kwenye hii ligi kuu ya NBC? Unafahamu kwamba Zawadi Mauya Ana diploma? RELIANT LUSAJO alisoma MUCCobs pia katika nchi hii ya kidemokrasia Elimu si hoja sana unaweza kuipata ukiwa ndani ya uteuzi, katika Demokrasia mshindi ni yule anaekubalika zaidi regardless ni mvuta bangi, shoga, msagaji, muuza mada wa n. K nenda kafanye homeworkWacheza mpira kinachowakwamisha sana ni elimu. Wengi wao wanavuta bangi na walianzia kazi yao katika mazingira ya kihuni sana huko mtaani kwahiyo hata background zao zinawasaliti. Kutokana na uduni wa elimu hata uwezo wao wa kuongea mbele za watu ni mdogo mno. Wachezaji waliomaliza kidato cha nne salama ni wachache tofauti na wanamuziki ambao hadi wenye Masters wapo kama kina MwanaFA. Pamoja na elimu duni pia kifedha hawako vizuri. Hela za kwenye mpira ni chache zinazopatikana mwa miaka michache sana.
Kwanini usifanye homework? Kabla ya kuandika ulipaswa kufanya kijiutafitiKasim Majaliwa alikuwa anachezea timu gani? Na ni mwaka gani mkuu?
Unafahamu kwamba Bob nyanga Makani (Rip) aliwahi kucheza mpira hadi chuo kikuu? Ismail Aden Rage yeye humfahamu?Asante sana kwa elimu mkuu. Duh mpaka Ramadhani Dau, kweli wewe unafahamu mengi!
Mkuu nafikiri unafahamu maana ya kuandika kitu ambacho mtu unakifahamu, na maana ya kuandika kitu ambacho haukifahamu kwahiyo unataka ukifahamu.Kwanini usifanye homework? Kabla ya kuandika ulipaswa kufanya kijiutafiti
Ni mchezaji au ni msanii?Punguani mmoja wewe. Chizi kabisa huyo Ronaldo ni mtanzania ? Embu acha ujinga bhana
Ya Rage nafahamu kuwa aliwahi kuwa mchezaji wa Simba na baadae akawa mbunge huko Tabora kama sikosei.Unafahamu kwamba Bob nyanga Makani (Rip) aliwahi kucheza mpira hadi chuo kikuu? Ismail Aden Rage yeye humfahamu?
Joel Bendera yeye Alipata kuwa Waziri pia, na Leodger Tenga yeye ana Ukwasi kwa sasa ni Mwenyekiti wa Jumuia ya wenye ViwandaYa Rage nafahamu kuwa aliwahi kuwa mchezaji wa Simba na baadae akawa mbunge huko Tabora kama sikosei.
Marehemu Bob Makani yeye sikuwahi kuijua historia yake ya mpira, namfahamu zaidi kwa upande wa siasa tu.
Hapana nakupinga. Siku hizi elimu inaangaliwa tena sana. Hakuna mvuta bangi atachaguliwa kisa anajuana na mamlaka ya uteuzi. Kina msukuma, Lusinde na Kishimba wangeshaukwaa uwaziri kitambo sana. Hata kama ni mvuta bangi mwenye connection lazima awe na elimu kwa sasa vinginevyo ataishia kuwa chawa tu kama Steve Nyerere. Viongozi na matajiri wakubwa kwa sasa wameshashtuka wanahakikisha watoto wao wanapata elimu bora kabisa kwa gharama yoyote.Unafahamu kwamba Tunawachezaji ambao ni Graduates kwenye hii ligi kuu ya NBC? Unafahamu kwamba Zawadi Mauya Ana diploma? RELIANT LUSAJO alisoma MUCCobs pia katika nchi hii ya kidemokrasia Elimu si hoja sana unaweza kuipata ukiwa ndani ya uteuzi, katika Demokrasia mshindi ni yule anaekubalika zaidi regardless ni mvuta bangi, shoga, msagaji, muuza mada wa n. K nenda kafanye homework
Kunipinga mimi sio tatizo, tatizo ni kupingana na ukweli wenyewe, kwa sababu unachanganya mambo, mwenzio kataja kuhusu teuzi, wewe ukasema wacheza mpira ni wavuta bangi, mimi nimekueleza kwamba katika demokrasia kigezo si merit ni namna gani jamii inakukubali nikiaamnisha katika Ubunge n. k wewe badala yake unasema unanipinga sijui kwa lipi? Wewe hukuona kuna waziri kabla ya mchengelwa alikuwepo wizara ya michezo ni mtu wa sigara bwege? Au hujui kwamba Taletale, msukuma n.k ni wa bunge na hawana shuleHapana nakupinga. Siku hizi elimu inaangaliwa tena sana. Hakuna mvuta bangi atachaguliwa kisa anajuana na mamlaka ya uteuzi. Kina msukuma, Lusinde na Kishimba wangeshaukwaa uwaziri kitambo sana. Hata kama ni mvuta bangi mwenye connection lazima awe na elimu kwa sasa vinginevyo ataishia kuwa chawa tu kama Steve Nyerere. Viongozi na matajiri wakubwa kwa sasa wameshashtuka wanahakikisha watoto wao wanapata elimu bora kabisa kwa gharama yoyote.
Hana elimu huyo Mchengerwa? Kina Taletale, msukuma na wengine wameingia bungeni kwasababu katiba inawalinda... ila kwenye uwaziri hutakaa uwasikie. Hoja yangu ipo kwenye elimu.Kunipinga mimi sio tatizo, tatizo ni kupingana na ukweli wenyewe, kwa sababu unachanganya mambo, mwenzio kataja kuhusu teuzi, wewe ukasema wacheza mpira ni wavuta bangi, mimi nimekueleza kwamba katika demokrasia kigezo si merit ni namna gani jamii inakukubali nikiaamnisha katika Ubunge n. k wewe badala yake unasema unanipinga sijui kwa lipi? Wewe hukuona kuna waziri kabla ya mchengelwa alikuwepo wizara ya michezo ni mtu wa sigara bwege? Au hujui kwamba Taletale, msukuma n.k ni wa bunge na hawana shule
Hahaha 😂😂Hapana nakupinga. Siku hizi elimu inaangaliwa tena sana. Hakuna mvuta bangi atachaguliwa kisa anajuana na mamlaka ya uteuzi. Kina msukuma, Lusinde na Kishimba wangeshaukwaa uwaziri kitambo sana. Hata kama ni mvuta bangi mwenye connection lazima awe na elimu kwa sasa vinginevyo ataishia kuwa chawa tu kama Steve Nyerere. Viongozi na matajiri wakubwa kwa sasa wameshashtuka wanahakikisha watoto wao wanapata elimu bora kabisa kwa gharama yoyote.
Aisee nimecheka sana 😂😂😂Kunipinga mimi sio tatizo, tatizo ni kupingana na ukweli wenyewe, kwa sababu unachanganya mambo, mwenzio kataja kuhusu teuzi, wewe ukasema wacheza mpira ni wavuta bangi, mimi nimekueleza kwamba katika demokrasia kigezo si merit ni namna gani jamii inakukubali nikiaamnisha katika Ubunge n. k wewe badala yake unasema unanipinga sijui kwa lipi? Wewe hukuona kuna waziri kabla ya mchengelwa alikuwepo wizara ya michezo ni mtu wa sigara bwege? Au hujui kwamba Taletale, msukuma n.k ni wa bunge na hawana shule
Absul Mteketa alikuwa mbunge wa KilomberoZa asubuhi wakuu wote wa hapa JF.
Kuna maswali nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na wachezaji wetu wa timu ya taifa na hata wale wa club ambao ni watanzania. Mbona sijawahi kuwaona wakigombea au kuchaguliwa kuwa wabunge kama wenzao wasanii?
Mbona sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa mawaziri au manaibu waziri kama wenzao wasanii?
Sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa wakuu wa wilaya nk kama wenzao wasanii?
Je tatizo ni nini kutokujiweka karibu na siasa au kutokukubaliwa na mfumo ambao mara nyingi ndo hupanga nani awe nani na nani awe nani?
Mwenye kujua au kuwa na majibu ya haya maswali naomba anisaidie kunijibu. Nitamshukuru kwa majibu yake. Lakini pia hata asiekuwa na majibu pia anaruhusiwa kusoma na kuchangia.
Haya twende kazi!
Hapa nimekupata vizuri mkurugenzi.Wasanii ni karatasi inayotumika kuchambia, hivyo muda mwingine huzawadiawa tuvyeo.
Wasikubabaishe hamna kitu, ni watu wanaotumiwa. Msanii huimba na nyimbo kuenea haraka masikioni hata kama hupendi kuwasikiliza, utalazimika hata ktk daladala, bar, mtaani nk hivyo hutumika kuwaimbia viongozi.
Watanzania wengi ni vilaza wasiotaka kufikiri hivyo ukitumia wasanii unawashswishi vilaza kiulaini.
Katika ngazi ya ubunge na udiwani, wasanii wanatumia umaarufu wao hasa kwa vijana na wanawake kupata kura pia uwezo wao kifedha unawawezesha kufanya kampeni kubwa. Wachezaji wetu sio maarufu kama wasanii labda Mayele na Chama ambao sio watanzania. Kwa upande wa teuzi, Elimu inawaangusha wachezaji, mfano Nick wa pili, Jokate, Mwana FA wote ni wasomi wa level ya Masters na Nick anakaribia kumaliza PHD, wachezaji wetu wengi ni darasa la saba japo Kuna wachache walio fika Elimu ya Masters kama Tenga na Mtemi Ramadhani na walipata teuzi kwenye mashirika, Profesa Madundo Mtambo nadhani bado ni Mkurugenzi Mkuu TIRDO.Za asubuhi wakuu wote wa hapa JF.
Kuna maswali nimekuwa nikijiuliza kuhusiana na wachezaji wetu wa timu ya taifa na hata wale wa club ambao ni watanzania. Mbona sijawahi kuwaona wakigombea au kuchaguliwa kuwa wabunge kama wenzao wasanii?
Mbona sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa mawaziri au manaibu waziri kama wenzao wasanii?
Sijawahi kuwaona wakichaguliwa au kuteuliwa kuwa wakuu wa wilaya nk kama wenzao wasanii?
Je tatizo ni nini kutokujiweka karibu na siasa au kutokukubaliwa na mfumo ambao mara nyingi ndo hupanga nani awe nani na nani awe nani?
Mwenye kujua au kuwa na majibu ya haya maswali naomba anisaidie kunijibu. Nitamshukuru kwa majibu yake. Lakini pia hata asiekuwa na majibu pia anaruhusiwa kusoma na kuchangia.
Haya twende kazi!