Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Kuna mmoja hapa na macho ya kawaida tu, bas nikamwambia unamacho mazuri sana natamani niwe nakuangalia mara zote, eeh basi anajua ni kweli amekaa anayazunguusha zunguusha kumbe hakuna maajabu yoyote.

How possible?
Kwaiyo unamaanisha nikimwambia una trako zuri atataka kunionyesha
 
Ukitaka kumla mwanamke wa kinyakyusa kirahisi bila hata hela ya vocha, mwambie AISEE WEWE UNA WEUPE WA ASILI wakati unaona kabisa midomo mwyeusi na vidole Ni vyeusi.
Ukifika Moshi mtafute mwenye tule tumiguu twao, halafu mwambie HAKI MTOTO WA KICHAGGA UMEJAAKIWA MIGUU. natamani nione hapo hiyo miguu inapokutana. Utasusiwa mzigo na bia mbili utakunywa.
Ukifika Kondoa Irangi wewe tafuta mwanamke yoyote halafu mwambie, aisee wewe dada Ni mkimya, sijui hata unaongeaga saa ngapi.
Ukilipata jimama lenye vijipesa, akishakupa Mara moja, mdanganye mwambie ana k ya kubana halafu Ina Moto Kama tanuru.
Ukipata muda utanishukuru.
 
Nikisema Jf itasimama kwa mda na Wanaume wengi hawajui kwamba Wanadanganywa 😁😁😁
Wazi wazi..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikija kujua mi mtu naona kabisa ana ninafkia ahahahaha atakubali mbna πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Wadada hovyo sana kumbe mnatujaza tuu sheeenziiiii kabisa
 
Wazi wazi..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikija kujua mi mtu naona kabisa ana ninafkia ahahahaha atakubali mbna πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Wadada hovyo sana kumbe mnatujaza tuu sheeenziiiii kabisa
Sasa Kama tuliwadanganya toka Eden huko tutashindwa vitu vingine yaani hapa tunawachora tu😁😁😁
 
Tena Ogopa mwanamke akikusifia kwa jambo lolote,Narudia tena OGOPAAAπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ahahahha in nyanda voice OGOPAA
Kuna sifa zingine unaona kabisa hapa hapa hapa mmmmh hapana....

Sema nishajifunza kitu aiseeeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ sema na sisi tunajua kuongopa nyie khaaa yaani kabisa unajua hapa hamna kitu ila sasa
 
Na wewe mwanamke ukipata bwege mume wa mtu ukitaka ule pesa yake mwambie haya matatu.
1. Baby unakunywa pombe lakini sijawahi kuona umelewa.
2. Baby nilimuona mkeo na yule mtoto wako wa kiume, aisee yule dogo copyright. Yaani umejizaa.
3. Aisee unajua kuridhisha mwanamke halafu huchoki. {(Hii Ni special kwa wale wenye vipara na vitambi. Hata Kama Ni MTU wa two minutes. We msifie tu mpaka akujengee.)}
 
Na wewe mwanamke ukipata bwege mume wa mtu ukitaka ule pesa yake mwambie haya matatu.
1. Baby unakunywa pombe lakini sijawahi kuona umelewa.
2. Baby nilimuona mkeo na yule mtoto wako wa kiume, aisee yule dogo copyright. Yaani umejizaa.
3. Aisee unajua kuridhisha mwanamke halafu huchoki. {(Hii Ni special kwa wale wenye vipara na vitambi. Hata Kama Ni MTU wa two minutes. We msifie tu mpaka akujengee.)}
Hizi notes hazina mwendelezo?
 
Back
Top Bottom