Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Lamomy naomba uje unidanganye plz love
😂😂😂 Unajua ww ni handsome halafu sio bahili, unanipa pesa ya vocha laki sio km wengine wanawapa afu tatu babe zao.! Na kuthibitisha hilo ss hivi utaniwekea laki 5 ya juice 🤣🤣🤣🤣

Mbaga ujue mi shem wako, utanivunjia husiano langu na kuniita ita love mfyuuu!! 😂
 
😂😂😂 Unajua ww ni handsome halafu sio bahili, unanipa pesa ya vocha laki sio km wengine wanawapa afu tatu babe zao.! Na kuthibitisha hilo ss hivi utaniwekea laki 5 ya juice 🤣🤣🤣🤣

Mbaga ujue mi shem wako, utanivunjia husiano langu na kuniita ita love mfyuuu!! 😂
Hapo kwenye laki tano ndipo tatizo linapoanzia
 
😂😂😂 Unajua ww ni handsome halafu sio bahili, unanipa pesa ya vocha laki sio km wengine wanawapa afu tatu babe zao.! Na kuthibitisha hilo ss hivi utaniwekea laki 5 ya juice 🤣🤣🤣🤣

Mbaga ujue mi shem wako, utanivunjia husiano langu na kuniita ita love mfyuuu!! 😂
Bc ngoja ntakuwa nakuita love huko PM 😎
 
Kuna kasichana kamoja huwa nakatania we ni kazuri zuri kumshinda mama mtoto wangu.Kiukweli huwa nakadanganya kwa sababu ni kamkomavu.Kakawaambia watu eti mke wa baba G ni mbovuuu mpaka anaona haya kumposti.Kumbe kenyewe ndio kamkomavu na kameshupaa kama dume.
 
Kuna kasichana kamoja huwa nakatania we ni kazuri zuri kumshinda mama mtoto wangu.Kiukweli huwa nakadanganya kwa sababu ni kamkomavu.Kakawaambia watu eti mke wa baba G ni mbovuuu mpaka anaona haya kumposti.Kumbe kenyewe ndio kamkomavu na kameshupaa kama dume.
Mungu anakuona 😂😂😂
 
Kuna kasichana kamoja huwa nakatania we ni kazuri zuri kumshinda mama mtoto wangu.Kiukweli huwa nakadanganya kwa sababu ni kamkomavu.Kakawaambia watu eti mke wa baba G ni mbovuuu mpaka anaona haya kumposti.Kumbe kenyewe ndio kamkomavu na kameshupaa kama dume.
Yani na kutangaza katangaza?
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Kuna mmoja hapa na macho ya kawaida tu, bas nikamwambia unamacho mazuri sana natamani niwe nakuangalia mara zote, eeh basi anajua ni kweli amekaa anayazunguusha zunguusha kumbe hakuna maajabu yoyote.

How possible?
Me nashangaa kila dem nikimtongoza anaamini basi nampenda kweliii,huwa nacheka sana moyoni🤣
 
Back
Top Bottom