Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

Hivi wadada kumbe wanaanini uongo tunaowaambia?

ke wengi wanapenda kuongopewa.
Wazungu ndiyo wanapenda sana, niliwahi kumsifia mzungu na demu wake waliniomba niwapige picha kwenye yao, Nikamsifia mshikaji kwa kumwambia una jua kuchagua kweli na demu wake nikamsifia nikamwambie yeye mzuri sana ni Muss European, nikashangaa wananipa elf 50.
 
Wazungu ndiyo wanapenda sana, niliwahi kumsifia mzungu na demu wake waliniomba niwapige picha kwenye yao, Nikamsifia mshikaji kwa kumwambia una jua kuchagua kweli na demu wake nikamsifia nikamwambie yeye mzuri sana ni Muss European, nikashangaa wananipa elf 50.
Yule mzungu Ndo Mimi....Ile Hela nlikupa sio Kwa sababu ulitusifia, nliona una njaa kali
 
Wazungu ndiyo wanapenda sana, niliwahi kumsifia mzungu na demu wake waliniomba niwapige picha kwenye yao, Nikamsifia mshikaji kwa kumwambia una jua kuchagua kweli na demu wake nikamsifia nikamwambie yeye mzuri sana ni Muss European, nikashangaa wananipa elf 50.
😂 walikubali mapambio yako
 
Back
Top Bottom