Hivi wafanyabiashara wenzangu, mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidi kila kitu!

Hivi wafanyabiashara wenzangu, mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidi kila kitu!

Wewe mpuuzi acha kumwona jirani yako kama mpinzani wako wakati yeye yuko bize kupambania biashara yake. Pia jifunze Marketing. Kama hutajifunza hutafika popote.

Ila kikubwa zaidi punguza tamaa, wivu na roho mbaya. Kwa ulivyojielezea huna muda mrefu kabla hujaenda kwa mganga kuloga.
 
Pamoja na ushauri wote uliopewa usisahau kuwa na chumvi ya mawe katika biashara yako.

Quality
Price
Good customer care .
 
Nondo za humu ni zaidi ya shule najihisi nanufaika kuliko hata mleta mada

Kwenye biashara uvumilivu ndio kila kitu, lakini pia kwa kukushauri mleta uzi usipuuzie wanachokuambia wateja hata kama ni cha kijinga ujue hicho ndio wanakosa kwa huyo jirani yako na wengine wanaokuzunguuka na hichohicho ndio kitafanya umchomoe huyo mteja kwa jirani yako na kuwa wakwako

Mfano unauza mchele halafu mteja akahitaji na mafuta au unga wa pilau na akakwambia "uwe unatuekea na unga wa pilau"(wengi huwa wanasema) basi fanya hima kuuleta na ukishauleta upromote yaani waambie wateja kuwa umeshaleta hata kama hawajakuuliza

Ukiwa na subira ndani ya mwaka au miaka miwili nawewe utakuwa na wateja wako
 
Ni mchele ndiyo. Sasa kwanini unalalamika jirani boda wanajaa kwake na kwako hamna kitu?
Mim nahisi alifungua akiamini atakuwanae level sawa katka hiyo biashara pengine uko nyuma alianzia eneo tofauti akaona vinamchanganya akabadili..........ndo kufikia apo ambapo mwenzetu panamuwanzisha
 
Mambo matatu ktk biashara ni muhimu nanlazima kuyajua na kufanya kwa usahihi

1. Namna ya kununua mzigo
Ubora sokoni,bei rafiki,chaneli ya kupata mzigo kwa usahihi,wadau wa kudili nao nk

2. Namna ya kuuza
Bei yako sokoni,customer care,sera za ofisi na usimamizi wake nk

3. Namna ya kudhibiti pesa

Kila senti ya biashara lazima itumike kwa hesabu sahihi za kihasibu. Sera na usimamizi wa pesa ya biashara ni kitu muhimu sana sbb ndio uhai na ukuaji wa biashara ulipo

Kwa hiyo mkuu hayo mambo tajwa hapo juu huenda ndipo mafanikio ya jirani yako yalipo na ndipo anguko lako lilipo. Kutoka hapo ni ucheki maendeo hayo uboreshe
 
Habari chief,
Nikirejea uzi wako hapo juu inaonesha unahitaji misingi ya game na elimu ya biashara angalau kutoka kwa mfanyabiashara mzoefu awe mentor ili kukupa experiance ya game. Binafsi nitachangia kidogo kulingana na uelewa wangu naamini itasaidiapo haha.
Umeandika kuwa umewahi kufanya biashara kwakuajiriwa kwa mtu lakini kimsingi hapo ulikua muajiriwa si mfanya biashara.
Katika biashara zingatia yafuatayo:

1) Lijue soko lako (wateja) kwa kufanya utafiti kujua walaji wako ni watu wa namna/kipato gani hii itakusadia/kukuanda na aina ya mzigo wakuweka usije ukawa unaleta mchele grade 1 kumbe soko linataka mchele wa kitonga kwa bei yakutupa

2) Mahusiano,
Biashara ni watu tufuta watu wanaofanya biashara kama yako hususani walio karibu/maeneo ya jirani ongea nao itakusaidia kulielewa game la eneo husika na tabia za wateja wake pia zungumza na wateja wako utajifunza kitu na pia mahusiano mazuri yatakusaidia kupata dalali wa kuaminika angalau.

3) Biashara ni imani na inaitaji uwe na muscle kupigania ndoto yako hususani ikiwa kwenye hatua za awali na upepo ukayumba, kikubwa usikate tamaa kama umejiridhisha kwenye point 1, 2 hapo juu.
Imani inaenda mbali zaidi kushirikisha Mungu/Ushirikina utachagua wewe

4) Ubunifu na jitihada
Usisubiri mteja akufuate, weka jitihada kutafuta mteja mpe sababu ya kununua kwako zingatia mteja ni mfalme na ukimpata jitahidi kumtunza kwa kuzingatia matakwa yake na hapa ndio utaelewa kwanini makampuni yanayo jielewa yanatenga bajeti kubwa kwenye upande wa masoko (marketing) na upande wa tafiti (R&D)

Wadau wataongezea mengine,

Mwisho nikupongeze kwa uthubutu na kila lakheri kwenye safari yako ya mapambano.
Aiseee umenipa somo kubwa sana shukrani bro🙏🙏
 
Swali la kipuuzi hili

Moja katika njia za kufanikiwa kibiashara ni KUTAKE RISK
huyo ameamua kufanya BIASHARA
ingekuwa wote wanawaza hvyo HILL WATER AFYA wasingeingiza PRODUCT zao mtaani 7bu AZAM MASAFI yupo na anatosheleza mhitaji ya maji
Na AZAM asingeingiza maji mtaan 7bu. Maji safi tulikuwa tunayaamini ni KILIMANJARO TU
Afazari umenijibia huyu
 
Mambo matatu ktk biashara ni muhimu nanlazima kuyajua na kufanya kwa usahihi

1. Namna ya kununua mzigo
Ubora sokoni,bei rafiki,chaneli ya kupata mzigo kwa usahihi,wadau wa kudili nao nk

2. Namna ya kuuza
Bei yako sokoni,customer care,sera za ofisi na usimamizi wake nk

3. Namna ya kudhibiti pesa

Kila senti ya biashara lazima itumike kwa hesabu sahihi za kihasibu. Sera na usimamizi wa pesa ya biashara ni kitu muhimu sana sbb ndio uhai na ukuaji wa biashara ulipo

Kwa hiyo mkuu hayo mambo tajwa hapo juu huenda ndipo mafanikio ya jirani yako yalipo na ndipo anguko lako lilipo. Kutoka hapo ni ucheki maendeo hayo uboreshe
Shukrani sana mkubwa
 
kwanza Mtangulize Mungu jiamini, pili usisubiri wateja wafuate wateja how tafuta oda kwa mama ntilie na kwenye maduka, tatu kuwa nasubira changamoto mwanzo wa biashara zipo, nne jifunge mkanda uende unapochukulia mzigo ukatafuta mashine ambao ndo watakutumia mzigo achana na madalali,
Ni sahihi round hii ndo nataka niend mwenyewe moja kwa moja mashineni sabab mwanzon nilikuwa natumia tu madalali
 
Habari chief,
Nikirejea uzi wako hapo juu inaonesha unahitaji misingi ya game na elimu ya biashara angalau kutoka kwa mfanyabiashara mzoefu awe mentor ili kukupa experiance ya game. Binafsi nitachangia kidogo kulingana na uelewa wangu naamini itasaidiapo haha.
Umeandika kuwa umewahi kufanya biashara kwakuajiriwa kwa mtu lakini kimsingi hapo ulikua muajiriwa si mfanya biashara.
Katika biashara zingatia yafuatayo:

1) Lijue soko lako (wateja) kwa kufanya utafiti kujua walaji wako ni watu wa namna/kipato gani hii itakusadia/kukuanda na aina ya mzigo wakuweka usije ukawa unaleta mchele grade 1 kumbe soko linataka mchele wa kitonga kwa bei yakutupa

2) Mahusiano,
Biashara ni watu tufuta watu wanaofanya biashara kama yako hususani walio karibu/maeneo ya jirani ongea nao itakusaidia kulielewa game la eneo husika na tabia za wateja wake pia zungumza na wateja wako utajifunza kitu na pia mahusiano mazuri yatakusaidia kupata dalali wa kuaminika angalau.

3) Biashara ni imani na inaitaji uwe na muscle kupigania ndoto yako hususani ikiwa kwenye hatua za awali na upepo ukayumba, kikubwa usikate tamaa kama umejiridhisha kwenye point 1, 2 hapo juu.
Imani inaenda mbali zaidi kushirikisha Mungu/Ushirikina utachagua wewe

4) Ubunifu na jitihada
Usisubiri mteja akufuate, weka jitihada kutafuta mteja mpe sababu ya kununua kwako zingatia mteja ni mfalme na ukimpata jitahidi kumtunza kwa kuzingatia matakwa yake na hapa ndio utaelewa kwanini makampuni yanayo jielewa yanatenga bajeti kubwa kwenye upande wa masoko (marketing) na upande wa tafiti (R&D)

Wadau wataongezea mengine,

Mwisho nikupongeze kwa uthubutu na kila lakheri kwenye safari yako ya mapambano.
Hapo mwanzon nilikuwa siwajui wateja wang ila kwa sas nimejua wateja wang ni watu wa halii ya chini kwaiyo wanapenda mchele kitonga lakini pia uwe mzuriii ko nazanii asaiv nitaenda moja kwa moja mashineni na kuwachukulia mchele wanaohitajii
 
Ushasema mwenzio ana muda mwingi, maana yake ana wateja wengi, iwe hawa wakuja wenyewe, wa kuagizia, wa simu tu..
Jiongeze usihangaike na wateja wake tafuta wa kwako, ingia mitandaoni tangaza biashara yako, mwanzo mgumu mzee.

Halafu fanya utafiti uweze kupata mali nzuri na kwa bei nzuri ili uuze kwa bei poa.
 
Utulivu wa nafasi ni muhimu sana katika biashara, acha kuwa na kijicho au wivu kwa mwenzako uliyemkuta. Miezi mitatu ni michache sana kujitathmini , bado una muda wa kujifunza. Acha kutegemea madalali kwa asilimia 100 jiongeze mwenyewe
Una mawazo ya kibeki tatu, yawezekana hujawahi uza hata nyanya za gengeni.
Hakuna biashara ambayo washindani hawajifanyii evaluation na kujipima kulingana na market na industry. Na hiyo haiitwi wivu wala kijicho.
 
Una mawazo ya kibeki tatu, yawezekana hujawahi uza hata nyanya za gengeni.
Hakuna biashara ambayo washindani hawajifanyii evaluation na kujipima kulingana na market na industry. Na hiyo haiitwi wivu wala kijicho.
Tatizo weng waliomo humu wanaongea vitu wakiwa kwao kwa mama zao ko inshu za biashara wanaona rahisii sana na mtu akiuliza swalii wanaona kama ndo mshamb au ana wivu hiviii. Ila siku akija kuanza biashara yake ndo atajua
 
Back
Top Bottom