Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mi sijajua kabisa kinachorehekewa. Kwa mfano sisi wakristo huwa tunasherehekea kuzaliwa kwa bwana yesu (Christmas) na ufufuko wa yesu (pasaka) Sasa waislamu wanasherekea kumbukumbu ya kitu gani.
Au relief ya machungu ya kutokula mchana kwa almost a month au!!
Mi sijajua jamani naomba mnisaidie
Au relief ya machungu ya kutokula mchana kwa almost a month au!!
Mi sijajua jamani naomba mnisaidie