Kuuliza wanacho sherekea imekuwa kosa?Mm ni mkrisu lkn mleta nada ni wakumpuuza .Akili zake zipo kwenye boxer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuliza wanacho sherekea imekuwa kosa?Mm ni mkrisu lkn mleta nada ni wakumpuuza .Akili zake zipo kwenye boxer
Hekima mkuu hekima , ukimjibu vizuri unakua umeleta amani.Umeuliza kwa dhihaka na sio kwa kutaka kujua na hilo linathibitishwa na paragraph yako ya pili,
Unaonekana unapitia machungu mengi sana kwenye maisha yako na life limekupiga kisawasawa ndio maana unatafuta relief kwa kuja kutapika humu,
Tafuta Hela ili upunguze sress za maisha.
Nasubiri nione msimamo , wamkate kichwa shekhe wa Dar au wamfukie akiwa hai, vinginevyo wakae kimya kabisa. Tusichoshane.Umeona eenhh??!!.Wanajifaga eti wana msimamo Kumbe sio.
Isome tena thd na hasa paragraph ya pili ili uone mleta mada kauliza swali kwa dhihaka na kejeli na sio kwa kutaka kujua.Mkuu mfano mimi ni Mhaya, nikiuliza hivi kwanini Wachaga kila mwisho wa mwaka wanaenda kwao?
Je utasema hiyo ni kejeli au sipaswi kuuliza kwa sababu mimi siyo mchaga?
Hapo wewe kama Mchaga na unajua jibu unapaswa kunijibu basi na siyo kujificha eti wewe Mhaya kwanini unauliza mambo ya wachaga. Jibu swali usepe kama huna jibu piga kimya
Kwanini umeweka neno IDI hapo mkuu allah anabariki uongo?katika BIBLIA kuna sehemu MUNGU anasema anazichukia sikukuu zenu za mwandamo wa mwezi je unadhani hii ilewalenga waislamu kwa vile ndio wanaoufuata mwandamo wa mwezi?Wanasheherekea kama walivyoelekezwa[emoji116]
Hosea 9:5 "mtafanya nini katika siku ya mkutano wa IDI na katika siku ya kalamu ya bwana"
Mpumbavu hupokelewa kama anavyokuja,mpumbavu huwezi kumjibu kwa hekima coz hajui hekima ni nini,watu kama hao ukiangalia background zao utagundua kua wamekulia kwenye maisha ya hovyo yasio yakimaadili mema.Hekima mkuu hekima , ukimjibu vizuri unakua umeleta amani.
Nasubiri nione msimamo , wamkate kichwa shekhe wa Dar au wamfukie akiwa hai, vinginevyo wakae kimya kabisa. Tusichoshane.
Kuna watu wamejaaliwa hekima na Allah.. huyu mkuu Mungu amemuumba kwa mfano wake, abarikiwe sana.Mungu akubariki sana ndugu ielewemitaa . Unajibu kwa adabu, heshima na unyenyekevu mkubwa.
Ningependa sote sisi wakristo na waislamu tuwe kama wewe.
Kongole sana, endelea hivyo hivyo na Mungu akubariki sana.
Msaidie awe mwema hakuna aliekamilika. Sote tuombeane uokovu na heri.Mpumbavu hupokelewa kama anavyokuja,mpumbavu huwezi kumjibu kwa hekima coz hajui hekima ni nini,watu kama hao ukiangalia background zao utagundua kua wamekulia kwenye maisha ya hovyo yasio yakimaadili mema.
Isome tena thd na hasa paragraph ya pili ili uone mleta mada kauliza swali kwa dhihaka na kejeli na sio kwa kutaka kujua.
Mimi sijuhi sana shekhe wangu, uongo dhambiulipaswa umjibu wewe sasa mbona unanijibu mimi? Au nawewe umekosa subra na hekima?
Haya ndiyo majibu sasa mkuu.Wanasheherekea kama walivyoelekezwa[emoji116]
Hosea 9:5 "mtafanya nini katika siku ya mkutano wa IDI na katika siku ya kalamu ya bwana"